matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Hahaha.Shida ni pale mpimaji na mpimwaji wote ni walewale masalia ya Jiwe.
Asante kwa mchango maridadiWe jamaa ni mbu jike...
Unatia mihuri elimu yako kwa kuwa na uwezo wa kuileza kwa maneno na kwa maandishi kwa lugha uliyotumia kujifunza.Aiseeh! Kwahiyo nikifahamu kingereza tu nami najitapa nina degree.
Anayefahamu anifundishe please,Nitamlipa.l..ani PM .
"Godu morningi sa"
Mbwembwe zangu huwa zinaishia hapa,nataka nielewe zaidi ya hapa.
Kabla ya Uhuru kiingereza kilianza kufundishwa kwenye shule za msingi zote nchini, yaani mtoto anafika darasa la nne anajua kiingereza ukizingatia mtoto ni rahisi kujifunza lugha kuliko mkubwa. Baada ya Uhuru ilipoletwa siasa ya ujamaa ambayo ilikuwa na lengo la kuleta matabaka, elimu ikavurugwa kukawa na eti hakuna kupasi mtihani kukiwa na lengo la kuwawezesha watoto wa viongozi waingie sekondari na vyuo! Hapo ndipo baadhi ya shule zikawa zinafundisha lugha ya kiingereza na nyingine mradi shule! Hizi hata walimu shida. Wenye uwezo wakajianzishia shule zao ili wauze kiingereza kilichokuwa si bidhaa bali lugha kama kilivyo kiswahili, biashara ikapata mwitikio wa kifahari eti za Kimataifa kwa kuuza lugha moja!Wasomi wengi hawawezi kuongea kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi. Na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako.
Kiingereza hakina kona nyingi. Kiko moja kwa moja kwenye point. Kiswahili kinatoa nafasi nyingi za ujanjaujanja na kukwepa maswali.Kiswahili ni kigumu kuliko kingereza πππ ..Ngoja aanze kuandaa madokezi sabili hapo ndip utajua kiswahili ni nn.
Binafsi bora watumie kingereza ila kiswahili jau sana kina maneno magumu na ndio yanatumika ofisini.
English kina njiw nyingi rahsi kama ulikuwa hujui watu wanaweza kuandika kwa ms word then ikamsahihisha spelling mpaka grammar ,kuna tools kibao za AI .
Kama umesoma Diplomq kwa kiswahili hii haikuhusu. Kama ni kingereza, mtaalam jua lugha uliyitumia kupata ujuzi kwa ufasaha.Naomba utushauri na wa Diploma na certifcate tupimwe kwa kipimo gani?
Kwani hayo unayoyaelewa kuhusu taaluma yako, huwezi kuyaelezea kwa lugha ya kwenu? AU unataka kuniambia, ukifundishwa kitu kwa kiswahili, basi ikifika kukielezea kwa kiingereza hutaweza?Kama mambo umefundishwa kwa kiingereza, unataka tukupimeje uelwa wako kwa Kiswahiliπππ
Naunga mkono hoja, maana kiswahili hatuhitaji kujifunza kama ni hiki cha kupigia story tayari watoto wanakijua.Elimu ya primary lugha iwe English. Samaki mkunje angali mbichi
Naunga mkono hoja, maana kiswahili hatuhitaji kujifunza kama ni hiki cha kupigia story tayari watoto wanakijua.
Wakati wa kufundishwa gari, akiambiwa akanyake mfulumbato asilalamike..!!Kiswahili ni kigumu kuliko kingereza πππ ..Ngoja aanze kuandaa madokezi sabili hapo ndip utajua kiswahili ni nn.
Binafsi bora watumie kingereza ila kiswahili jau sana kina maneno magumu na ndio yanatumika ofisini.
English kina njiw nyingi rahsi kama ulikuwa hujui watu wanaweza kuandika kwa ms word then ikamsahihisha spelling mpaka grammar ,kuna tools kibao za AI .
Jamii inayokuzunguka, na jamii ya kimataifa inajua umejifunza hayo kwa Lugha ya kiingereza, hivyo wanategemea ujue kuieleza kwa Kiingereza.Kwani hayo unayoyaelewa kuhusu taaluma yako, huwezi kuyaelezea kwa lugha ya kwenu? AU unataka kuniambia, ukifundishwa kitu kwa kiswahili, basi ikifika kukielezea kwa kiingereza hutaweza?
Kiswahili cha stori ni tofauti na kile cha SOMO..!!! Embu mfikirie mwana wa chuga kwenye hili..!!Naunga mkono hoja, maana kiswahili hatuhitaji kujifunza kama ni hiki cha kupigia story tayari watoto wanakijua.
ππ mfulumbato ndio nini mkuu.Wakati wa kufundishwa gari, akiambiwa akanyake mfulumbato asilalamike..!!
Ila angalau kidogo unaweza kujitetea.Kiswahili cha stori ni tofauti na kile cha SOMO..!!! Embu mfikirie mwana wa chuga kwenye hili..!!
Haya, twende kazi..!! CLUTCHππ mfulumbato ndio nini mkuu.
Lazima apimwe kwa Lugha aliyojifunzia, maana hata hivyo docs nyingi zitakuja kwa kiingereza.kwanini kisitumike kiswahili kwenye interview na iko kingereza kitume kwnye organization za kimataifa huko..
mtu anaenda kuajiliwa almashauri ambapo asilimia 90 atatumia kiswahili kwenye utendaji kazi wake ila interview inalazimishwa kufanywa kwa kiingereza tena kwnye nchi ambayo kiingereza sio mother tongue kama tumerogwa yaani.!
Daa!! Nilikuwa sijui. Napenda sana misamiati ya kiswahili sema ukiijua mingi utakuwa mpweke maana mtaani haijulikani, ni migumu kama English kwetu sisi tumaliza vyuo kupitia shule za serikali.Haya, twende kazi..!! CLUTCH
Sawa sawa, njia zipi nitumie kufahamu kingereza ?hata salaam tu rafiki.Unatia mihuri elimu yako kwa kuwa na uwezo wa kuileza kwa maneno na kwa maandishi kwa lugha uliyotumia kujifunza.
Hii ndio hoja. Kujua kiingereza sio degree
πππKiswahili hovyo sanaKiingereza hakina kona nyingi. Kiko moja kwa moja kwenye point. Kiswahili kinatoa nafasi nyingi za ujanjaujanja na kukwepa maswali.
Hata mimi sijui. Wataalam watasaidia.Sawa sawa, njia zipi nitumie kufahamu kingereza ?hata salaam tu rafiki.