Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

Kiswahili ni kigumu kuliko kingereza 😂😂😂 ..Ngoja aanze kuandaa madokezi sabili hapo ndip utajua kiswahili ni nn.

Binafsi bora watumie kingereza ila kiswahili jau sana kina maneno magumu na ndio yanatumika ofisini.

English kina njiw nyingi rahsi kama ulikuwa hujui watu wanaweza kuandika kwa ms word then ikamsahihisha spelling mpaka grammar ,kuna tools kibao za AI .
Kiswahili ni kigumu mno. Kama huamini, iseti simu yako kwa lugha ya Kiswahili kama hutashindwa kuelewa baadhi ya maelekezo yake, labda kama umebobea kwenye lugha ya Kiswahili.

Nimeona mtandaoni, Kiswahili ni ya tisa kwa uwepesi wa kujifunza.

Anauejifunza Kifaransa au Kiitaliano au Kiospaniola anaweza akakielewa haraka zaidi kuliko anayejifunza Kiswahili.
 
Kwakweli mkoloni alikosea sana kutuacha tujitawale....ngozi nyeusi ni ngozi nyeusi tu.

nyambaaafu!
 
Tujifunze kwa Singapole. Maana China ilijifunza kwa Singapole. Deng Xioping alijifunza kwa Lee Kuan Yew.

Lugha ya taifa wanayo ya kwao, lakini lugha ya msingi (main language) ni Kiingereza. Maana Rais Baba wa taifa lao alikuwa na maono ya kuifanya singapole kuwa Bwawa la waajiriwa wenye viwango. Yaani dunia nzima maHR wafunge safari kwenda kuchota waajiriwa wenye viwango vya kimataifa.

Hawa ndio walikuwa kama sisi kabla ya uhuru.
Unajua sababu kuu ya Singapore kutumia kiingereza na kuacha mandarin, malay na tamil ?
 
Kutojua kuongea na kuandika kiingereza vizuri hasa kwa Graduate ni aina mojawapo ya ulemavu. Hakuna uhalali wowote wa mtu kuwa na shahada ya chuo kikuu halafu kiingereza hujui. Ni upuuzi
 
Wasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.

Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.

Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kile unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.

Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.

Nini maoni yako?
Kiingereza kama hukiongei mara kwa mara au husomi haduthi, magazeti,habari au majarida ya kiingereza lazima kikushinde kuongea.
 
Lee Kuan Yew aka ' Brilliant Dictator.'
Alikuwa na Daraja la juu kabisa Chuo cha Cambridge, Uk alipomaliza Sheria.

Mchina mlowezi, angesisitiza Lugha za asili maana alikuwa akisema kitu hakuna wa kupinga. Hata kutema mate chini Singapole ilikuwa ukijulikana inafungwa.
Sio kila maamuzi ya kipuuzi unaweza chukua kwa sababu tu wewe ni dikteta utaua watu hovyo hovyo kama kichaa
 
Kwanini tunapenda shobo kwa lugha ya mkoloni? MAmbo mengi Ovyo kabisa, ni vizuri kujua lugha za kigeni lakini sio lazima.
 
Kwanini tunapenda shobo kwa lugha ya mkoloni? MAmbo mengi Ovyo kabisa, ni vizuri kujua lugha za kigeni lakini sio lazima.
Si lazima kama huna mpango wa kwenda kwao. Vinginevyo uwe na mkalimani, kitu ambacho ni gharama zaidi kuliko gharama ya kujifunza.
 
Hautakua siriaz mkuu

mimi st kayumba tabu ninayopata sasa iv bas tu ningekua hangouts na mtu wa maana ama ningekua kwa wenzetu kwanza sijiamin
Ubaya ni kwamba hufahamu unachoongea.

Umejenga fikra fulani kuhusu hizo shule zilivyo wakati sivyo.
 
Uko sahihi ila pia huko sahihi

Uko sahihi kwakua language acquisition skill inahitaji intelligence

Hauko sahihi kwakua kuna multiple intelligence, mtu aweka kua vibaya kwenye language akawa mzuri kwenye logic ( mathematics)
Huyo ana shahada ya socialogy
 
Back
Top Bottom