Muhumba wa Mukinyaa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 683
- 1,251
Hata pale Kampala,M7 alishawahi OKOA jahazi,baada ya JIWE kubananishwa na waandishi wa habari..Jiwe na msafara wake walituaibisha Zimbabwe mpaka wakapata msaada toka kwa rais wao ambaye aliwahi kuishi hapa.
Nilichofanya,wanangu sehemu kubwa ya maisha yao,wanaongea hicho kinachoitwa KIDHUNGU