Nashauri ligi ya NBC iondolewe kwenye kampuni za betting

Nashauri ligi ya NBC iondolewe kwenye kampuni za betting

Team nyingi zinazaminiwa na ayo makampuni uwoni team zitapoteza mapato hapo sheria iwe kali tu
 
Marefa wanabet, Wachezaji wanabet, Viongozi wa timu wanabet, mashabiki wanabet.

Ligi inaelekea kukosa mvuto. Magoli yanafungwa marahisi, waamuzi wana makosa ya wazi, mabeki na makipa ni kama wana maelekezo.

Cheki mechi kama ya jana ya Yanga, utagundua makosa mengi kuanzia kwa marefa, kipa mpaka beki. Pacome alikuwa offside wakati anataka kufunga goli kabla ya yule beki kujifunga kimasihara.

Mechi ya juzi ya Simba, refa aliwanyima Singida waziwazi kona.

Mechi ya Simba na JKT yule beki kama hakuwa amebet basi tuseme ni nini? Kwanini amdake Kapombe dakika za lala salama vile?

Suluhu pekee ni kuiondoa ligi ya bongo kwenye kampuni zote za betting.
Una ushahidi wanabet au unahisi wanabet?
 
Back
Top Bottom