Isakhamisi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 387
- 448
Visomo hivyo vya misikitini na makanisani vinaanza kafanya kazi mwisho wataanza kutajana kwa kila anayehusika na uharamia huu unaoendelea.Damu za watu waliowaua huko maporini zinaanza kuwatesa na bado wataropoka mengi sana.
UKWELI wa maCCM wapongezwe waliotangaza yanayofanyika..Chura kiziwi alaaniwe.sheitwan huyo.Nape na DC wa Longido aliyetumbuliwa ni wanaCCM wasema KWELI.
Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Nilishasema hapo awali kuwa MUNGU AMEONDOA KAULI KWENYE NDIMI ZA VIONGOZIChonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Ameendelea kukivua chama cha Mapinduzi nguo.Ni tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.
Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?
Serikali ndio inayoteka na kutupa watu maporini hukoChonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Wananchi Vichomi hawa aiseee,Aende semina ya kutuficha vizuri maporini😂😂Wewe naye badala useme awe chini ya ulinzi ahojiwe vizuri, eti waende semina. Hivi kwanini hamuwahurumii watanzania na kodi zao.
Angekuwa upinzani, katoa hiyo kauli, muda huu anakula virungu na kuvutwa korodani. Ila ni fisiem atatenguliwa imeisha.
Unataka wafundwe Siri za kijinga unataka ukazipatie wapi?Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Luka raraa reree ame-like comment yako, wala hakuchelewa maskini... Ukiteuliwa usimsahah Cyborg wetu 😁Ni tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.
Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?
Ni kweli wewe ni msiri wa maovu! UnafaaNi tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.
Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?