Nashauri Mawaziri, RC DC na DED wapelekwe Semina Elekezi kama enzi za JK. Fikiria wakati tunazungumzia Utekaji DC anadai Kuna Kitu alifanya Maporini!

Nashauri Mawaziri, RC DC na DED wapelekwe Semina Elekezi kama enzi za JK. Fikiria wakati tunazungumzia Utekaji DC anadai Kuna Kitu alifanya Maporini!

Kwanini hamsemi tuikatae CCM KWA kuitoa MADARAKANI?
 

Attachments

  • 1000006239.jpg
    1000006239.jpg
    39.1 KB · Views: 2
Nasikia jamaa ni kipenyo,kama ni hivyo ni kasema kwa bahati mbaya au majukumu yalipaswa kuwa hivyo?
 
Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi

Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha

Mlale Unono 😃

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Luka 12:2-4

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi
 
Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi

Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha

Mlale Unono 😃

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Nilishasema hapo awali kuwa MUNGU AMEONDOA KAULI KWENYE NDIMI ZA VIONGOZI

Uzi huo upo na haya yanayoendelea hakuna wa kuzuia zaidi ya Mungu mwenyewe
 
Unaendelea kuwatafutia sababu za kutafuna Kodi zetu ?
 
Ni tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.

Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?
Ameendelea kukivua chama cha Mapinduzi nguo.

Hakika mtadharirika sanaa
 
Unaendelea kuwatafutia sababu za kutafuna Kodi zetu ?
 
Wewe naye badala useme awe chini ya ulinzi ahojiwe vizuri, eti waende semina. Hivi kwanini hamuwahurumii watanzania na kodi zao.
Angekuwa upinzani, katoa hiyo kauli, muda huu anakula virungu na kuvutwa korodani. Ila ni fisiem atatenguliwa imeisha.
 
Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi

Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha

Mlale Unono 😃

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Serikali ndio inayoteka na kutupa watu maporini huko
 
Wewe naye badala useme awe chini ya ulinzi ahojiwe vizuri, eti waende semina. Hivi kwanini hamuwahurumii watanzania na kodi zao.
Angekuwa upinzani, katoa hiyo kauli, muda huu anakula virungu na kuvutwa korodani. Ila ni fisiem atatenguliwa imeisha.
Wananchi Vichomi hawa aiseee,Aende semina ya kutuficha vizuri maporini😂😂
 
Tatizo ni kuokoteza watu, watumishi wa umma wanakula kiapo cha kutotoa siri za nchi.

Hii ndio sababu unakuta mtu kama Jenista Mhagama pamoja na uwezo wake mdogo. Kwa nafasi zake anajua mengi ya nchi ila ni trusted kwenye inner circle kutunza siri za nchi.

Mropokaji kama huyo angeachwa ndio ingekuwa tatizo, ni sawa alivyotumbuliwa hana tofauti na Napę katika uropokaji.
 
Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi

Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha

Mlale Unono 😃

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Unataka wafundwe Siri za kijinga unataka ukazipatie wapi?
Acha waendelee kufichua maovu Yao.
MTU akiwa na damu mikononi hawezi kufa na hiyo Siri.
 
Ngozi iliyokauka ukiimwagia maji ukiipiga inatoboka, vile vile kadhri binadamu umri unavyoongezeka Kuna vitu huwa havisahau ikiwa ametenda ubaya ama Jambo baya kumbukumbu huwa zinamsumbua hususani anapoelekea uzeeni huwa Hali hii yakuzungumza inajitokezaa Ili kupata Amani ama hauweni akizeeka akiwa anatolewa njee kuota juwa utasikia anasema hao wanakuja, huyo anakujaaa Hali hii ya hofu hutokana na matukio ya nyuma kumbukumbu mbaya.
 
Ni tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.

Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?
Luka raraa reree ame-like comment yako, wala hakuchelewa maskini... Ukiteuliwa usimsahah Cyborg wetu 😁
 
Ni tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.

Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?
Ni kweli wewe ni msiri wa maovu! Unafaa
 
Back
Top Bottom