Isakhamisi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 387
- 448
Visomo hivyo vya misikitini na makanisani vinaanza kafanya kazi mwisho wataanza kutajana kwa kila anayehusika na uharamia huu unaoendelea.Damu za watu waliowaua huko maporini zinaanza kuwatesa na bado wataropoka mengi sana.