Nashauri Mawaziri, RC DC na DED wapelekwe Semina Elekezi kama enzi za JK. Fikiria wakati tunazungumzia Utekaji DC anadai Kuna Kitu alifanya Maporini!

Ili tusijue ya nyuma ya pazia na yaliyomo ndani ya freezer zao ama?
 
Utekaji na upotezaji ni sera isio rasmi yq ccm kwa hiyo hata waelekezwe vipi lazima kuna maeneo watateleza na kutoa siri
 
Waende semina walipwe tena posho. Elezeni kwanza maporini mnafanya nini
 
DC na Nape wanastahili kuoandiswa vyeo kwa kusema ukweli.πŸ˜…
Hao ndio haswaa wamefuzu semina elekezi.πŸ˜…
Kumbuka kiapo chao.
"Nitasema Kweli Daima"
"Uwongo Kwangu Mwiko"
 
kusubiri semina elekezi ni dalili ya kutokujua wajibu wao na hivyo hawatakiwi kuwapo katika madaraka hayo. Semina elezezi za Kikwete zilikuwa ni upigaji wa pesa tu
 
Nimeshindwa tu kuelewa kwenye mapori kulifanyika nini na alihusikajehusikaje yeye kama yeye 🀣
 
Jo, ogopa kuua Mtu asiye na hatia. Dhambi zote fanya lakini kuondoa uhai wa mtu hapana. DC ametafunwa na dhamira na hatia.
 
Ukisikia mtu anaitwa Mwamba basi ni kama huyo Mwamba, kwanza sio muoga.
 
Mbona huwa wanaenda kupigwa msasa pale Uongozi Institute.
Shida ni kuwa CCM na serikali yake imebeba watu wabaya,watu wabaya hawajawai kuwa wazuri isipokuwa kama wanatafuta wanachotaka ndiyo hujifanya
Hii nchi km wanasema kuna vetting mie naaminndo peleka makina saini unakuta polisi anaaamriwa na muu wa wa wilaya au mkoa piga risasi hao na yeye anapiga ni upumbavu wa hali ya juu
 
Hapa leo lucas umeongea kama mzalendo sio kama siku nyingine, lakini sasa ukweli umeujua yale maneno yako ya kujibwambafy kuwa mnashinda kwa kishindo umesikia kinachofanyika sasa???? Ushauri wangu usiwe chawa kwa kila kitu ndugu yqngu mwashambwa! Naomba sasa uelekeze nguvu zako huyo dc achukuliwe na vyombo vya dola asaidie polisi huko maporini walikuwa wanafanya nini ???
 
Uko sahihi 100%
 
Hata mkiwapa masemina mengi mengi bado huku mitaani na kwenye vikao vya ndani wataendelea kutamba!
 
Semina elekezi itasaidia nini ilhali waliopewa nafasi hizi ni majambazi?! Mtekaji yeyote ni jambazi awe ofisini au mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…