VAR ilinunullwa kwaajili ya naniKwa hii nchi ya kuabudu uzalendo uchwara na Uzawa na kufurahisha wanasiasa na wakuu hilo haliwezekani, Tena kwa kutaka kumfurahisha mama yao wanaweza kumpa mwanamke ndo achezeshe
Soka letu Siasa Nyingi Sana
Umewataja kina Arajiga na yule mama Tatu mbona humtaji?Hii mechi ya ngao ya jamii tarehe 8 ingetakiwa TFF na bodi ya ligi wamlete refari kutoka nje ambaye ana uzoefu mkubwa ili kuepuka lawama na kasoro za upendeleo wa wazi kama wanavyofanyaa marefa wa ndani hasa Kayoko na Arajiga, inashindikana nini mbona mechi ya Al Ahly na Zamalek ilikuwa ichezeshwe na refa kutoka nje.
VAR Haitoi Maamuzi VAR inafanya review kwa muamuzi, hivyo bado maamuzi ya mwisho yatabaki kwa muamuziVAR ilinunullwa kwaajili ya nani
Mzee MagomaRefa akitoka nje nani atasimamia ndani ya uwanja
Kama sio Arajiga siku ile mlikua mnakula 6 ile penalty Kapombe alimdaka Mudhathir ilikua waziKwa hii nchi ya kuabudu uzalendo uchwara na Uzawa na kufurahisha wanasiasa na wakuu hilo haliwezekani, Tena kwa kutaka kumfurahisha mama yao wanaweza kumpa mwanamke ndo achezeshe
Soka letu Siasa Nyingi Sana
Kama sio Arajiga siku ile mlikua mnakula 6 ile penalty Kapombe alimdaka Mudhathir ilikua wazi
[/QUOTE
Ata wakienda kucheza nje ya Tanzania kitakacho amua ni ubora wa timu husika na si vinginevyo.Hii mechi ya ngao ya jamii tarehe 8 ingetakiwa TFF na bodi ya ligi wamlete refari kutoka nje ambaye ana uzoefu mkubwa ili kuepuka lawama na kasoro za upendeleo wa wazi kama wanavyofanyaa marefa wa ndani hasa Kayoko na Arajiga, inashindikana nini mbona mechi ya Al Ahly na Zamalek ilikuwa ichezeshwe na refa kutoka nje.
Lakini baadae muamuzi anapewa adhabu na mengineyo,(for future use)VAR Haitoi Maamuzi VAR inafanya review kwa muamuzi, hivyo bado maamuzi ya mwisho yatabaki kwa muamuzi
Kuna mechi ya Al Ahly na Zamalek ilikuwa ichezeshwe na refa kutoka Spain kama sikosei,ila Zamalek waligoma kucheza kisa Al Ahly wana viporo vingi . Inaonekana inawezekana kabisa kuwa na refa kutoka nje kwa ajili ya mchezo wa derby,tunaona kabisa hata hawa marefa wanaochezesha club bingwa walivyo wazuriKama Tff na Bodi ya ligi wanataka kuifanya dabi ya Simba na Yanga iwe na thamani walete marefa kutoka nje na sio Hawa wetu wanaochezesha kwa maelekezo.
Aragija kachezesha mfululizo lakini Hana improvement yoyote zaidi ya kuongeza madudu.
Kuna yule refa muethiopia na marefa wengine waafrika wanaochezesha world cup wanaweza kuwachukua.
Ukiona mtu qnapinga maamuzi ya refa kutoka nje ujue timu yake ni mnufaika.
Marefa wenye uwezo na uzoefu wapo halafu kuna VARHii mechi ya ngao ya jamii tarehe 8 ingetakiwa TFF na bodi ya ligi wamlete refari kutoka nje ambaye ana uzoefu mkubwa ili kuepuka lawama na kasoro za upendeleo wa wazi kama wanavyofanyaa marefa wa ndani hasa Kayoko na Arajiga, inashindikana nini mbona mechi ya Al Ahly na Zamalek ilikuwa ichezeshwe na refa kutoka nje.
Umeanza kuchanganyikiwa weweKama sio Arajiga siku ile mlikua mnakula 6 ile penalty Kapombe alimdaka Mudhathir ilikua wazi
Dah!Refa akitoka nje nani atasimamia ndani ya uwanja