Nashauri msemaji ya Tabora united asibugudhiwe, ila ataniwe TU

Ni mental case. Anakuambia eti huu msimu utakua wa mwisho kuifunga tabora. Nikajua hii ni mental case tu
Ha ha haa,yaani alivyopiga u turn ghafla utashangaa.
Wakati hata yeye Hana uhakika huko mbele hajui kama atakuwepo siku Simba ikicheza Tena na Tabora.
 
Anaongea kwa tungo tata
 
Amejua kuitumia Simba kupaisha jina lake.
Sasa hivi anajulikana Afrika nzima kwa kujaribu kuitishia Simba,akili mkichwa.
Nimejikuta nampenda TU ghafla,hata Ahmed Ali kamsifia na amepelekea kujaza nyomi uwanja wa Ali Hasan Mwinyi.
Fo sure...kaitumia vzr fursa ya mnyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…