#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

Acha kuchanganya mambo ya kiimani kwa imani ya mtu mmoja na serikali pili ugomvi wa ndugu usiugeuze mjadala wa kitaifa tuko busy kufanya mambo mengine pia suala la afya sio la kupigia debate hii ni issue ya kitaaluma
 
Mdahalo wa wazi hutumika hata kule Marekani kipindi cha uchaguzi, ambapo wagombea kupitia vyama pinzani huwekwa kwenye jukwaa moja na kupitishwa kwenye ‘tanuru la moto’ ili kuona nani anafaa, vivyo hivyo ifanyike kwa Askofu Gwajima na Waziri wa Afya (Serikali) ili tuweze kupata ‘consensus’ ya kitaifa juu ya usalama wa chanjo ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu.

Hoja ambazo wengi tuna shauku ya kuona zikijadiliwa , baadhi ni hizi:-

1.) Je, madhara (side effects) ya muda mfupi, muda wa kati (miaka mi5) na ya muda mrefu (miaka 10) ya hizo chanjo, kwa atakaechoma na kwa watoto atakaowazaa ni yapi?

2.) Je, chanjo ni nini? , yaani ili kitu kiitwe ‘chanjo’ kinatakiwa kiweze kufanya nini na nini? , na kwamba je, hicho kinachoitwa chanjo, kinaweza kufanya hayo?

3.) Kwa kuwa kirusi hiki huwa kinabadilika badilika kila baada ya muda fulani (fact), je, hii chanjo ya Johnson & Johnson iliyoletwa ni kwa ajili ya aina gani ya kirusi cha Corona, au ni kwa ajili ya aina zote za virusi vya Corona? Na kama kikija aina mpya ya kirusi, mfano ‘delta variant’ itabidi watu wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Hadi lini? Mwisho wake ni lini?

4.) Je, tukishachomwa hiyo chanjo ya Corona, tunaacha kuvaa barakoa?, tunaweza kujichanganya kwenye mikusanyiko? , tunaweza kushikana mikono na kukumbatiana? , tunakuwa hatuwezi kupata maambukizi ya Corona? Tunakuwa hatuwezi kuambukiza wengine? Na je, ni kwanini wanaochoma chanjo wanaogopa zaidi Corona kuliko wasiochoma?

5.) Nk, Nk, Nk, Nk.

Sasa bila kujibu hizi hoja, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwaelewa, nasikitika hadi kiongozi mkuu wa nchi anaanguka kwenye mtego wa kujibu hoja kwa vijembe kama anavyofanya waziri wake, mnatufanya tujute kutoa nafasi za uongozi kwa usawa baina ya jinsia zote, mnawaangusha wanawake. Hivi kweli mtu anasema bila wasiwasi kwamba ametestiwa mitambo na mumewe na kwamba yupo fiti, are we serious, hoja ndio hujibiwa hivyo? Hoja hujibiwa kwa hoja.
6. Bado tuna amini kila kitu kutoka nje kina faa,je wanasayansi wa hapa ndani waliothibitisha chanjo hii wanaweza kuja na chanjo mbadala ya hizi?

7.Je hamjaona kama inafaa watu wachache wachanjwe kuliko kuchanja taifa zima wakati madhara ya chanjo hayajulikani?

8. Chanjo ni hiari lakini kwa nini nguvu kubwa inatumika kushawishi na kulazimisha watu kuchanjwa? Mbona kuna magonjwa mengine tena yanaua watu wengi kuliko corona lakini hakuna nguvu kwenye kutafuta chanjo?

9. Chanjo wanayo chanja Marekani na Uingereza ndo hii hii tunayochanja sisi?

10.Chanjo inahusishwa na chapa 666, hakuna mtu wala mamalaka iliyotoa ufafanuzi juu ya ukweli huu au uongo huu.Kwa nini?
11........
12.........


Ni muda sasa wa majibu kutolewa kuliko kutoa matamko, vitisho,matusi,
 
Wachenu ujinga munapenda kumpa Kiki Gwajima aakewe mdahalo kama yy nani? Usicheze na Serikali, chanjo ni ya HIYARIIII anaetaka atachanja na asietaka asichanje Gwajima usifanye kampeni ya kuwazui watu wanaotaka kuchanja wasichanje hilo ndio kosa lako wewe sio Bwana Afya masuala ya kijinga mbele kizaa


swali lako:1.Gwajima awekewe mdahalo kama nani?

jibu: MCH.GWAJIMA NDIYE MCHUNGAJI PEKEE ALIYESIMAMA KUOMBA UFAFANUZI WA CHANJO KUANZIA AKIWA BUNGENI , TAREHE 11 MAY 2021

Swali lako 2.Gwajima usifanye kampeni ya kuwazui watu wanaotaka kuchanja wasichanje hilo ndio kosa lako wewe sio Bwana Afya.

jibu: KAMA KUNA KAMPENI JUU YA WATU KUCHANJWA, KWA NINI ISIWEPO KAMPENI WATU WASICHANJWE?.
 
Mdahalo wa wazi hutumika hata kule Marekani kipindi cha uchaguzi, ambapo wagombea kupitia vyama pinzani huwekwa kwenye jukwaa moja na kupitishwa kwenye ‘tanuru la moto’ ili kuona nani anafaa, vivyo hivyo ifanyike kwa Askofu Gwajima na Waziri wa Afya (Serikali) ili tuweze kupata ‘consensus’ ya kitaifa juu ya usalama wa chanjo ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu.

Hoja ambazo wengi tuna shauku ya kuona zikijadiliwa , baadhi ni hizi:-

1.) Je, madhara (side effects) ya muda mfupi, muda wa kati (miaka mi5) na ya muda mrefu (miaka 10) ya hizo chanjo, kwa atakaechoma na kwa watoto atakaowazaa ni yapi?

2.) Je, chanjo ni nini? , yaani ili kitu kiitwe ‘chanjo’ kinatakiwa kiweze kufanya nini na nini? , na kwamba je, hicho kinachoitwa chanjo, kinaweza kufanya hayo?

3.) Kwa kuwa kirusi hiki huwa kinabadilika badilika kila baada ya muda fulani (fact), je, hii chanjo ya Johnson & Johnson iliyoletwa ni kwa ajili ya aina gani ya kirusi cha Corona, au ni kwa ajili ya aina zote za virusi vya Corona? Na kama kikija aina mpya ya kirusi, mfano ‘delta variant’ itabidi watu wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Hadi lini? Mwisho wake ni lini?

4.) Je, tukishachomwa hiyo chanjo ya Corona, tunaacha kuvaa barakoa?, tunaweza kujichanganya kwenye mikusanyiko? , tunaweza kushikana mikono na kukumbatiana? , tunakuwa hatuwezi kupata maambukizi ya Corona? Tunakuwa hatuwezi kuambukiza wengine? Na je, ni kwanini wanaochoma chanjo wanaogopa zaidi Corona kuliko wasiochoma?

5.) Nk, Nk, Nk, Nk.

Sasa bila kujibu hizi hoja, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwaelewa, nasikitika hadi kiongozi mkuu wa nchi anaanguka kwenye mtego wa kujibu hoja kwa vijembe kama anavyofanya waziri wake, mnatufanya tujute kutoa nafasi za uongozi kwa usawa baina ya jinsia zote, mnawaangusha wanawake. Hivi kweli mtu anasema bila wasiwasi kwamba ametestiwa mitambo na mumewe na kwamba yupo fiti, are we serious, hoja ndio hujibiwa hivyo? Hoja hujibiwa kwa hoja.
Hapana mkuu mdahalo uwe kati ya gwajima na Profesa Janabi wa JKI pale muhimbili!!!! Atamtoa hofu yote na data kamili.
 
Acha kuchanganya mambo ya kiimani kwa imani ya mtu mmoja na serikali pili ugomvi wa ndugu usiugeuze mjadala wa kitaifa tuko busy kufanya mambo mengine pia suala la afya sio la kupigia debate hii ni issue ya kitaaluma
Sawa, tunaomba taaluma itumike kujibu hizo hoja, sio kejeli
 
Hapana mkuu mdahalo uwe kati ya gwajima na Profesa Janabi wa JKI pale muhimbili!!!! Atamtoa hofu yote na data kamili.
Waziri anawakilisha mawazo ya wataalamu wote wanaomshauri, akiwemo Janabi
 
Mdahalo wa wazi hutumika hata kule Marekani kipindi cha uchaguzi, ambapo wagombea kupitia vyama pinzani huwekwa kwenye jukwaa moja na kupitishwa kwenye ‘tanuru la moto’ ili kuona nani anafaa, vivyo hivyo ifanyike kwa Askofu Gwajima na Waziri wa Afya (Serikali) ili tuweze kupata ‘consensus’ ya kitaifa juu ya usalama wa chanjo ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu.

Hoja ambazo wengi tuna shauku ya kuona zikijadiliwa , baadhi ni hizi:-

1.) Je, madhara (side effects) ya muda mfupi, muda wa kati (miaka mi5) na ya muda mrefu (miaka 10) ya hizo chanjo, kwa atakaechoma na kwa watoto atakaowazaa ni yapi?

2.) Je, chanjo ni nini? , yaani ili kitu kiitwe ‘chanjo’ kinatakiwa kiweze kufanya nini na nini? , na kwamba je, hicho kinachoitwa chanjo, kinaweza kufanya hayo?

3.) Kwa kuwa kirusi hiki huwa kinabadilika badilika kila baada ya muda fulani (fact), je, hii chanjo ya Johnson & Johnson iliyoletwa ni kwa ajili ya aina gani ya kirusi cha Corona, au ni kwa ajili ya aina zote za virusi vya Corona? Na kama kikija aina mpya ya kirusi, mfano ‘delta variant’ itabidi watu wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Hadi lini? Mwisho wake ni lini?

4.) Je, tukishachomwa hiyo chanjo ya Corona, tunaacha kuvaa barakoa?, tunaweza kujichanganya kwenye mikusanyiko? , tunaweza kushikana mikono na kukumbatiana? , tunakuwa hatuwezi kupata maambukizi ya Corona? Tunakuwa hatuwezi kuambukiza wengine? Na je, ni kwanini wanaochoma chanjo wanaogopa zaidi Corona kuliko wasiochoma?

5.) Nk, Nk, Nk, Nk.

Sasa bila kujibu hizi hoja, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwaelewa, nasikitika hadi kiongozi mkuu wa nchi anaanguka kwenye mtego wa kujibu hoja kwa vijembe kama anavyofanya waziri wake, mnatufanya tujute kutoa nafasi za uongozi kwa usawa baina ya jinsia zote, mnawaangusha wanawake. Hivi kweli mtu anasema bila wasiwasi kwamba ametestiwa mitambo na mumewe na kwamba yupo fiti, are we serious, hoja ndio hujibiwa hivyo? Hoja hujibiwa kwa hoja.
Mkuu majibu ya maswali yote haya yameshajibiwa na wataalam wetu mbali mbali na hivi karibuni kwenye mahojiano ya Prof. Janabi TBC. Na majibu yote yapo kwenye maelezo ya WHO mitandaoni.
Hata huu mdahalo ukifanyika bado watu watasema majibu yaliyotolewa na serikali ni ya uongo na wamenunuliwa/wana agenda ya siri!!!
 
Mdahalo wa wazi hutumika hata kule Marekani kipindi cha uchaguzi, ambapo wagombea kupitia vyama pinzani huwekwa kwenye jukwaa moja na kupitishwa kwenye ‘tanuru la moto’ ili kuona nani anafaa, vivyo hivyo ifanyike kwa Askofu Gwajima na Waziri wa Afya (Serikali) ili tuweze kupata ‘consensus’ ya kitaifa juu ya usalama wa chanjo ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa taifa letu.

Hoja ambazo wengi tuna shauku ya kuona zikijadiliwa , baadhi ni hizi:-

1.) Je, madhara (side effects) ya muda mfupi, muda wa kati (miaka mi5) na ya muda mrefu (miaka 10) ya hizo chanjo, kwa atakaechoma na kwa watoto atakaowazaa ni yapi?

2.) Je, chanjo ni nini? , yaani ili kitu kiitwe ‘chanjo’ kinatakiwa kiweze kufanya nini na nini? , na kwamba je, hicho kinachoitwa chanjo, kinaweza kufanya hayo?

3.) Kwa kuwa kirusi hiki huwa kinabadilika badilika kila baada ya muda fulani (fact), je, hii chanjo ya Johnson & Johnson iliyoletwa ni kwa ajili ya aina gani ya kirusi cha Corona, au ni kwa ajili ya aina zote za virusi vya Corona? Na kama kikija aina mpya ya kirusi, mfano ‘delta variant’ itabidi watu wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Na kikija kingine wakachomwe tena? Hadi lini? Mwisho wake ni lini?

4.) Je, tukishachomwa hiyo chanjo ya Corona, tunaacha kuvaa barakoa?, tunaweza kujichanganya kwenye mikusanyiko? , tunaweza kushikana mikono na kukumbatiana? , tunakuwa hatuwezi kupata maambukizi ya Corona? Tunakuwa hatuwezi kuambukiza wengine? Na je, ni kwanini wanaochoma chanjo wanaogopa zaidi Corona kuliko wasiochoma?

5.) Nk, Nk, Nk, Nk.

Sasa bila kujibu hizi hoja, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuwaelewa, nasikitika hadi kiongozi mkuu wa nchi anaanguka kwenye mtego wa kujibu hoja kwa vijembe kama anavyofanya waziri wake, mnatufanya tujute kutoa nafasi za uongozi kwa usawa baina ya jinsia zote, mnawaangusha wanawake. Hivi kweli mtu anasema bila wasiwasi kwamba ametestiwa mitambo na mumewe na kwamba yupo fiti, are we serious, hoja ndio hujibiwa hivyo? Hoja hujibiwa kwa hoja.
Hoja yako itaishia humu humu hakuna change itakayofanyika.
Vyombo vya habari vyote vinamilikiwa na members wa secret society, the Rothchild puppets and goffers, hakuna atakayeruhusu hili wazo lako.
Sio rahisi kuruhusu kweli isambae kwa public...just manipulate them
 
SASA KAMA WAZIRI WA AFYA KICHAA, WEWE UNAYESIKILIZA MAAGIZO YAKE UKO SAWA?
Hivi mnajua kuna mtu anaweza kuwa kichaa shauri ya kuwa na akili nyingi sana hadi zinamwagika.Hivi unafikiri zile namba mbili mtu na shemeji yake wana akili za kispot spot wana akili mno hizi zinazomwagika sasa ndio tunavyoona sisi yanayotokea sasa hivi
 
Mkuu majibu ya maswali yote haya yameshajibiwa na wataalam wetu mbali mbali na hivi karibuni kwenye mahojiano ya Prof. Janabi TBC. Na majibu yote yapo kwenye maelezo ya WHO mitandaoni.
Hata huu mdahalo ukifanyika bado watu watasema majibu yaliyotolewa na serikali ni ya uongo na wamenunuliwa/wana agenda ya siri!!!
Yaweke hapa, mi sijabahatika kuyasikia
 
Acha kuchanganya mafaili prof Janabi ni proffesor wa magonjwa ya moyo sio immulogy.Kuwa proffesor wa medical sio kujua kila kitu.labda kama una maana ingine
Mimi hata huyo Janabi simjui, zaidi ya kuambiwa kwamba ana majibu ya hoja, so, waziri atafute majibu toka kwa vyanzo vyote atakavyo, ili aje kwenye mdahalo ajibu hoja.
 
Back
Top Bottom