#COVID19 Nashauri Serikali iandae mdahalo mubashara wa Television baina ya Askofu Gwajima na Waziri wa Afya ili kumaliza utata uliopo juu ya usalama wa chanjo

 
Badala ya kujibebisha kwa Gwajima, ni vyema tukajibu hoja zake kwanza
 
 
 
Hoja za kina Humphrey Polepole na Mchungaji Gwajima zijibiwe
 
 
 

Nadhani sasa tunaelewa ni kwanini madalali wa chanjo walikuwa wanatumia nguvu nyingi kushinikiza chanjo, ili mkopo ukija wamegewe fungu la kutosha, halafu baadae tuanze kukamuana tozo
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…