Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo magari yameanza kupita baada ya jiwe kuwa Rais? Daraja la Busisi ni upotevu wa fedhaHuyo pimbi akili yake anawaza busisi tu hajui magari yanayopita hapo ni mamia kwasiku watu ndo usiseme!
Jiulize tu hata kudai risiti siku hizi hamna hamasa kabisa! Yaani aliyesema bunge la mazuzu naomba atambue hata serkali inaweza kuwa ya mazuzu vilevile!hata mkisitisha miradi yote bado hali itakuwa MBAYA SANA, kwa muelekeo huu wa wafanayabiashara wakubwa kukwepa kodi na matumizi ya ovyo ya serikali...watu tunajiuliza convoy nzima iliyoambatana na rais kwenda Misri walikenda kufanya nini, hadi Ndalichako! siku si nyingi na na mishahara itakosa kwa watumishi.
Kwa hiyo kigamboni hamna vivuko?Kumbe kuna kivuko?? Halafu jiwe anajenga na daraja?? Huu ni upendeleo.
Halafu ukute wewe ni mtu wa Manushi chini huko Kibosho unakosoa ujenzi wa daraja la Busisi!!!Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Ata Daraja la Wami halina maana lisitishweKwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Vipi,ulishajiendeleza kielimu au bado unasubiri huruma ya Samia kwamba huenda akawarejesha wenye vyetiKumbe kuna kivuko?? Halafu jiwe anajenga na daraja?? Huu ni upendeleo.
Tatizo watumiaji ni wanakijiji msiozidi 300 halafu mnasafirisha kuku na viazi. Hakuna faidaDaraja la Busisi ni muhimu sana litatupunguzia adha ya kusubiri muda mrefu.
Hiyo SGR ndio ijengwe kwa Awamu ya muda mrefu.Tatizo watumishi ni wanakijiji msiozidi 300 halafu mnasafirisha kuku na viazi. Hakuna faida
Wewe nani kipapule cha... na mmiliki wa vyet fk na Muhanga wa kufutwa kazi?!Daraja la Busisi halina tija. Huo ndiyo ukweli. Na nitahakikisha haliendelei kujengwa.
Hata Busisi hupajui unapayuka hapa tù! Hivi kisa kwa wasukuma Roho zinawauma? Hujui kuwa mwanza anakua kwa kasi na inaifatia Dar kiuchumi? Au wangejenga Dar au kaskazini ungekuwa unachekelea hapa! Mbona hujazungumzia daraja la mto wami kusitiswa?
Huyo alifukuzwa na Magu kwa sababu ya vyeti fake ndiyo maana anahasira naye mbayaKumbe tunajadili na kichaa!
Daraja la busisi lina tija kuliko hata la kigamboniHata Busisi hupajui unapayuka hapa tù! Hivi kisa kwa wasukuma Roho zinawauma? Hujui kuwa mwanza anakua kwa kasi na inaifatia Dar kiuchumi? Au wangejenga Dar au kaskazini ungekuwa unachekelea hapa! Mbona hujazungumzia daraja la mto wami kusitiswa?