Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Hivi huonagi japo aibu kila mada unayoileta humu huwa unaishia kutukanwa tu?!
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Umetoroka Mirembe!
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Kabisa JPM alikuwa anakwenda kuua nchi hii kama angeendelea kuishi. Hivi kwamfano lile daraja la Tanzanite Dar lina maana gani kuwepo kwa gharama zile kubwa mno za kujenga baharini? Ni sawa na Busisi nk.
 
Kabisa JPM alikuwa anakwenda kuua nchi hii kama angeendelea kuishi. Hivi kwamfano lile daraja la Tanzanite Dar lina maana gani kuwepo kwa gharama zile kubwa mno za kujenga baharini? Ni sawa na Busisi nk.
Acha ujinga busisi ni muhimu kuliko hata kigamboni endelea kutetea ujinga! Mikoa zaidi ya minne na nchi zaidi ya tatu zinategemea daraja hilo!
 
Mleta mada una hoja ya msingi sana.
Kama uwezo wetu wa kukamilisha hiyo miradi uko chini, kwanini tulazimishe kukamilisha hiyo miradi?
Upande wa pili, kama hiyo miradi tumeshindwa kumudu kuikamilisha, kwanini tuanzishe miradi mingine mipya?

Nawaza tu, hivi ni kwanini Magufuli alisitisha uendelezwaji wa miradi ya Gesi ya Mtwara, Bandari ya bagamoyo, gesi ya Lindi, ujenzi wa Kigamboni city nk?
Hapa sijui kama umeelewa ulichoandika, unamlaumu Magufuli kusitisha ujenzi wa miradi ambayo ilikuwa bado haijaanza, ila nawe unataka hata hiyo iliyoanza nayo isitishwe!

Halafu tena bado unashangaa kwanini wanataka kuanzisha mipya wakati iliyoanzishwa na magufuli bado haijakamilika, sasa hapa uko kundi lipi?
 
Acha ujinga busisi ni muhimu kuliko hata kigamboni endelea kutetea ujinga! Mikoa zaidi ya minne na nchi zaidi ya tatu zinategemea daraja hilo!
Bilioni 700 zilizotupwa hapo ziwani zingeweza kujenga kilometer 700 za high quality road kwa gharama ya shilling billioni 1 kwa kilometer! Kwa urefu huu wa barabara mkoa wa Mwanza na jiji la Mwanza lingekuwa kama Ulaya. Ujinga ni gharama sana!
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Endelea kuota
 
Miradi tuimalizie ila tusije kuwa na Rais wa ajabu mwingine kama hivi - hasa ki utawala bora na kuheshimu katiba na sheria za nchi ilikuwa mbaya saana.

Huo uwanja wa chatoh sijui utatumikaje...wapewe JWTZ. maana hauna tija.
 
Bilioni 700 zilizotupwa hapo ziwani zingeweza kujenga kilometer 700 za high quality road kwa gharama ya shilling billioni 1 kwa kilometer! Kwa urefu huu wa barabara mkoa wa Mwanza na jiji la Mwanza lingekuwa kama Ulaya. Ujinga ni gharama sana!
Hata wangejenga barabara za mkoa wa mwanza ungekuja hapa na maneno ya ukabila na upendeleo! Nyinyi watu ni wapumbavu na Mnafiki huwa hakosi neno! Ukumbuke ujenzi wa daraja la busisi unaenda sambamba na upanuzi njia sitta kutoka usagara hadi mjini mwanza!
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

😁😁

IMG_20210906_175550_845.jpg
 
Sasa kama inakuwa ndiyo lijengwe daraja la mabilioni kwenda kijijini Bisisi? Acha kupumbazwa na ukabila
Daraja ls busisi ni icon ya uchumi kanda ya ziwa na nchi za maziwa makubwa. Busisi ni kituo tu cha kutokea kuelekea Geita na kagera hadi Rwanda etc
 
Hata wangejenga barabara za mkoa wa mwanza ungekuja hapa na maneno ya ukabila na upendeleo! Nyinyi watu ni wapumbavu na Mnafiki huwa hakosi neno! Ukumbuke ujenzi wa daraja la busisi unaenda sambamba na upanuzi njia sitta kutoka usagara hadi mjini mwanza!
Hapana shaka JPM alikuwa mkabila kupindukia ila kibaya zaidi ni ujinga mkubwa aliokuwa nao. Nilimwogopa zaidi kwa hilo.
 
Back
Top Bottom