Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hivi huonagi japo aibu kila mada unayoileta humu huwa unaishia kutukanwa tu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetoroka Mirembe!Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Yuko serious huyo. Ni muhanga wa vyeti feki. Anapambana na hayati.Hivi unamaanisha au ni utani ukichoongea
Niko serious mkuu.Hivi unamaanisha au ni utani ukichoongea
Unamtukana msukuma mwenzio jiwe. Umesahau maneno ya mzee Diallo?Umetoroka Mirembe!
Kumbe tunajadili na kichaa!
Kweli mkuu!Daraja la busisi lina tija kuliko hata la kigamboni
Kabisa JPM alikuwa anakwenda kuua nchi hii kama angeendelea kuishi. Hivi kwamfano lile daraja la Tanzanite Dar lina maana gani kuwepo kwa gharama zile kubwa mno za kujenga baharini? Ni sawa na Busisi nk.Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Nadhani huijui sehemu unayozungumzia mkuu! Busisi yanapita magari mengi sana kwenda Geita, Kagera, Rwanda, Burundi, na Uganda. Hapo hawapiti wanakijiji wenye kuku na mbuzi tu kama unavyotaka kutuaminisha.Tatizo watumiaji ni wanakijiji msiozidi 300 halafu mnasafirisha kuku na viazi. Hakuna faida
Acha ujinga busisi ni muhimu kuliko hata kigamboni endelea kutetea ujinga! Mikoa zaidi ya minne na nchi zaidi ya tatu zinategemea daraja hilo!Kabisa JPM alikuwa anakwenda kuua nchi hii kama angeendelea kuishi. Hivi kwamfano lile daraja la Tanzanite Dar lina maana gani kuwepo kwa gharama zile kubwa mno za kujenga baharini? Ni sawa na Busisi nk.
Hapa sijui kama umeelewa ulichoandika, unamlaumu Magufuli kusitisha ujenzi wa miradi ambayo ilikuwa bado haijaanza, ila nawe unataka hata hiyo iliyoanza nayo isitishwe!Mleta mada una hoja ya msingi sana.
Kama uwezo wetu wa kukamilisha hiyo miradi uko chini, kwanini tulazimishe kukamilisha hiyo miradi?
Upande wa pili, kama hiyo miradi tumeshindwa kumudu kuikamilisha, kwanini tuanzishe miradi mingine mipya?
Nawaza tu, hivi ni kwanini Magufuli alisitisha uendelezwaji wa miradi ya Gesi ya Mtwara, Bandari ya bagamoyo, gesi ya Lindi, ujenzi wa Kigamboni city nk?
Bilioni 700 zilizotupwa hapo ziwani zingeweza kujenga kilometer 700 za high quality road kwa gharama ya shilling billioni 1 kwa kilometer! Kwa urefu huu wa barabara mkoa wa Mwanza na jiji la Mwanza lingekuwa kama Ulaya. Ujinga ni gharama sana!Acha ujinga busisi ni muhimu kuliko hata kigamboni endelea kutetea ujinga! Mikoa zaidi ya minne na nchi zaidi ya tatu zinategemea daraja hilo!
Endelea kuotaKwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Hata wangejenga barabara za mkoa wa mwanza ungekuja hapa na maneno ya ukabila na upendeleo! Nyinyi watu ni wapumbavu na Mnafiki huwa hakosi neno! Ukumbuke ujenzi wa daraja la busisi unaenda sambamba na upanuzi njia sitta kutoka usagara hadi mjini mwanza!Bilioni 700 zilizotupwa hapo ziwani zingeweza kujenga kilometer 700 za high quality road kwa gharama ya shilling billioni 1 kwa kilometer! Kwa urefu huu wa barabara mkoa wa Mwanza na jiji la Mwanza lingekuwa kama Ulaya. Ujinga ni gharama sana!
Sio ndoto JPM alifanya ujinga mkubwa kutupa mabilioni hapo busisi angetandaza lami mwanza nzima ingekuwa kama Ulaya.Endelea kuota
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.
Lkn makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.
1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!
2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.
3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.
4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.
N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi
Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Daraja ls busisi ni icon ya uchumi kanda ya ziwa na nchi za maziwa makubwa. Busisi ni kituo tu cha kutokea kuelekea Geita na kagera hadi Rwanda etcSasa kama inakuwa ndiyo lijengwe daraja la mabilioni kwenda kijijini Bisisi? Acha kupumbazwa na ukabila
Hapana shaka JPM alikuwa mkabila kupindukia ila kibaya zaidi ni ujinga mkubwa aliokuwa nao. Nilimwogopa zaidi kwa hilo.Hata wangejenga barabara za mkoa wa mwanza ungekuja hapa na maneno ya ukabila na upendeleo! Nyinyi watu ni wapumbavu na Mnafiki huwa hakosi neno! Ukumbuke ujenzi wa daraja la busisi unaenda sambamba na upanuzi njia sitta kutoka usagara hadi mjini mwanza!