Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Mkuu ifike mahali wastishe kila kitu ambacho kulifanywa awam ya 5 ila waje ma genuine ambao watakuwa na vitu vipya awamu ya sita, kiukwel tumechoshwa na kusikia watu wanavyo mu- underline Mwamba,

Ushauri wangu wasitishe kila kitu, ada za shule zirudi, reli iishie hapo, madaraja makubwa yaachwe!, Cjui vyote viachwe maana awamu ya 5 haikuwa na Cha maana, kulikuwa na uonevu, ukandamizaji wa democracy, uuwaji, unyonyaji , Rushwa ilishamili, kulikuwa hakuna uwajibikaji n.k,

Wawafungulie kesi wote waliokuwepo awam ya 5, ikiwezekana adhabu ya kunyongwa iwe ndo adhabu ya juu, na hvyo nchi itakuwa salama maana watu wa haki watakuwa wameingia, ma genuine, watetz wa wanyonge, wawajibikaji, wanaojua kuendesha nchi vzr..
Ni ukweli usiopingika kuwa, katika kila zama za uongozi kuna mabaya na mazuri yaliyofanywa na viongozi au watawala hao. Serikali ya awamu ya 5 inaweza kuwa ndoa awamu iliyokuja na stahili tofauti ya kiuongozi katika nchi na hivyo mapungufu na madhaifu yakaonekana bayana tena yanayogusa maisha ya watu na hivyo hata yale mazuri mengi ya kuijenga nchi yakafunikwa na madhaifu japo yanaonekana.
Ni wazi kuwa miradi iliyoanzishwa ilikuwa na iko kimkakati zaidi katika kujenga na kuimarisha uchumi wa nchi na watu wake, shida ni kuwa watendaji au viongozi wanatupeleka katika mwelekeo wa pamoja au Lah!
Uwajibishwaji wa viongozi wa umma mara nyingi unaweza kuchagizwa na viongozi au watawala waliopo madarakani lakini pia siasa kupewa kipaumbele sana hata kwenye mambo ya msingi.naunga mkono kuwajibishwa kwa waliokengeuka, lakini ni nani atamfunga paka kengele? Ahsante.
 
Sioni sababu yenye mantiki ya kusitishwa miradi hiyo yote hususani SGR, daraja la Busisi na bwawa la kufua umeme la mwalimu Nyerere kwa manufaa ya kiuchumi isipokuwa usitishwe miradi ya ununuzi wa ndege uliokusudiwa na serikali kwani zilizopo bado hazijaonyesha matunda toshelevu badala yake pesa hizo zielekezwe kwenye miradi mingine yenye tija kwa Taifa hususani zinazogusa wananchi moja kwa moja mf.kilimo na huduma zingine za kijamii.
Naunga mkono hoja yako mkuu
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Apo ndio utajua ukichaa ulio nao ni walevel ya pekeyakooo....njia ya kukwepa majukum sio kukimbia nyumba , pambana uyashinde ...watu kama nyie ndii hufa masikini
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Sema 40% ya mizigo inayopitia central corridor kwenda nchi jirani kutoka Dar port inapita Kigoma lakini 70% ya mizigo yote inayopokelewa Dar port kwenda nchi jirani inaelekea Sadc via Tazara na Tanzam.

Kwa hesabu hizi ni matumizi mabaya na WEhu kujenga reli ya sgr central corridor regardless inaenda Mwanza au Kigoma.

Hayo mamiradi makubwa uchwara yawe yanajengwa taratibu ili pesa ikafanye mambo mengine ya msingi.
 
Nyinyi na huyo bibi ako Samia mmeshafeli mnatapatapa daraja la Busisi linaenda kijijini akili yako imejaa kamasì! Si mlimuona Magufuli hafai amewaachia muendelee na Msoga wenu!
Mwendazake alikuwa mwehu na mkurupukaji,mamiradi yote ni useless na mhusika kaacha jumba bovu ,kwa nini hakukamilisha hata kimradi kimoja miaka yote 6?

Tunaenda na Samia 👇

Screenshot_20211119-082914.png


Screenshot_20211118-103615.png


Screenshot_20211117-134136.png


Screenshot_20211117-192356.png


Screenshot_20211117-132652.png


Screenshot_20211117-115227.png
 
Hayo mamiradi makubwa uchwara yawe yanajengwa taratibu ili pesa ikafanye mambo mengine ya msingi.
Naam! Hata mm napendekeza tusijenge kana kwamba taifa linaangamizwa kesho. Tumalize JNHPP halafu miradi mingine tuisukume taratibu. Lkn Busisi tuachane nalo kabisa
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Wewe kenge bora unyamaze maana hata hiyo Busisi yenyewe ni kweli kuwa huifahamu.
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Chuki dhidi ya magufuli imekupofusha huoni tija, mbinafsi mkubwa wewe,viongozi wanaopumzika wanaolipwa 80percent ya mishahara wa kiongozi anayetumika mbona huja pendekeza zipunguzwe kwani ni wazee wasiohitaji mambo mengi.
 
Watu wananunua ndege 5 za ziada wakati nchi ina shida ya maji na umeme sijui tumefeli wapi.

Kwa nini hizo hela zisingeenda kusaidia upatikanaji wa maji na umeme bila shida.
 
Nchi hii nilichojifunza wanaoishi kwa janjajanja ni wengi kuliko wenye maadili mema.

Pamoja na mambo mengine mwendazake alidhibiti janjajanja kwa asilimia 60 lakini sasa goli lipo wazi.

Sisi wazee tulioishi miaka Ile tulikuwa tunalalamika ubadhilifu uliokithiri,tukaomba atokee kiongozi mkali na katili ili kuondoa donda ndugu la janjajanja na upendeleo tukampata japo hakukidhi lakini angalau alinitahidi kukemea.

Kinachofuata ni kurudi kwa janjajanja ukiwakamata ukawapeleka Polisi janjajanja inatawala,ukipeleka mahakamani ni yaleyale technicalities za kisheria na lugha Yao ya kiratini inachukua nafasi.

Muafaka ni kama jipu tuliache liive litapasuka.Hatuwezi kumpata tena kama mwendazake watu wanapenda uhuru,haki bila wajibu.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
😂 iyo point 3 sio kabisa kwamba SGR isubiri awamu ya 8 itaendeleza 😀
 
Ndio maana nasema kila siku tuwe na sheria inayomtaka Raisi aliyepo madarakani kulinda na kuendeleza miradi aliyoachwa na mtangulizi wake. Najua utakuwa kuna kitu unakitafuta na ukishajua watanzania tupo paamoja nawe ndio utekelezaji wa kuipa kisogo hiyo miradi itaanza.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Mimi nasema HAPANA, SIKUBALIANI NA WAZO LAKO HILI...!

Hata kama waliochukua maamuzi ya kuanzisha development projects walikosea, kuiacha na kuanzisha kitu kingine tena yatakuwa NI MAKOSA MAKUBWA NA YA KIJINGA KABISA....

Bila kujali kama Magufuli alikosea ama la, lakini mpaka kufikia hatua hii hakuna kurudi nyuma bali ni kusonga mbele hadi imalizike hata kama itachukua miaka 20...!
 
Hata kama waliochukua maamuzi ya kuanzisha development projects walikosea, kuiacha na kuanzisha kitu kingine tena yatakuwa NI MAKOSA MAKUBWA NA YA KIJINGA KABISA....
Nilichoshauri ni kuacha kuitekeleza yote kwa pamoja. Mradi ambao nataka serikali iachane naonkabisa ni huo wa daraja la Busisi
 
Mimi nasema HAPANA, SIKUBALIANI NA WAZO LAKO HILI...!

Hata kama waliochukua maamuzi ya kuanzisha development projects walikosea, kuiacha na kuanzisha kitu kingine tena yatakuwa NI MAKOSA MAKUBWA NA YA KIJINGA KABISA....

Bila kujali kama Magufuli alikosea ama la, lakini mpaka kufikia hatua hii hakuna kurudi nyuma bali ni kusonga mbele hadi imalizike hata kama itachukua miaka 20...!
Kweni hata ukitumia tu akili yako unaona ni alikosea? Mtoa mada ni mpumbavu tu....lile eneo lina waTanzania waliohitaji huduma hiyo kwa miaka mingi tu maana huzama na mitumbwi wakipeleka samaki na mazao ya bustani hasa nyanya upande wa pili ili waelekee mjini kati

Mtu asiye pajua hapo ataongea anachojisikia kwa ujinga wake tu.
 
Busisi ni muhimu,makao makuu ni matumizi mabaya ya Kodi zetu,
 
Nilichoshauri ni kuacha kuitekeleza yote kwa pamoja. Mradi ambao nataka serikali iachane naonkabisa ni huo wa daraja la Busisi
Ungekuwa mfanyabiashara au mmiliki wa maroli ,mabus ungeona umuhimu wake.
 
Kweni hata ukitumia tu akili yako unaona ni alikosea? Mtoa mada ni mpumbavu tu....lile eneo lina waTanzania waliohitaji huduma hiyo kwa miaka mingi tu maana huzama na mitumbwi wakipeleka samaki na mazao ya bustani hasa nyanya upande wa pili ili waelekee mjini kati

Mtu asiye pajua hapo ataongea anachojisikia kwa ujinga wake tu.
Wewe utakuwa ni mkazi wa hicho kijiji cha Busisi ndiyo maana unatetea upuuzi wa jini jiwe.

Unapelekaje mabilioni ya shilingi kujenga daraja kuungqnisha vijiji vya ukweni kwake vyenye wakazi 300?? Jini jiwe mpuuzi sana
 
Back
Top Bottom