Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Sema tu hutaki kwa vile daraja hilo liko kanda ya ziwa ambayo inatokana na imani yako ya kuona mambo kutumia kurunzi ya ukabila; lakini unayaona madaraja mengine makubwa yaliyoko mito ya Rufiji, Kilombero, Tazara flyover, Ubungo interchange au hata hili la Tanzanite bridge hayo ni sahihi kwa vile hayako ukanda wa ziwa.
 
Wewe utakuwa ni mkazi wa hicho kijiji cha Busisi ndiyo maana unatetea upuuzi wa jini jiwe.

Unapelekaje mabilioni ya shilingi kujenga daraja kuungqnisha vijiji vya ukweni kwake vyenye wakazi 300?? Jini jiwe mpuuzi sana
Huna akili hata kidogo..eneo hilo linafupisha safari zote za nchi jirani na mikoa ya Kigoma na Kagera..punguzeni ujinga
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Mjinga hana akili. Kichwa kubwa bure tu. Vinginevyo anatumwa kusema hayo kwa madhumuni mabaya.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Ujinga uliopitiliza ndiyo huu.
 
Kumi na mbili kabisa, mdanganyeni mama yenu hata hizo kura asilimia 30 ambazo mngepata kwa watanzania 2025 hamtazipata , yaani ninyi Manyinyieem bongo lala kabisa yaani hujui kwamba SGR ikikamilika ni tishio kwa kw uchumi wa Kenya , Kenya wanatamani Sana SGR bongo isikamilike maana Sgr yao itakosa soko nchi nyin za Uganda ,Congo, Rwanda , Burundi wataitumia bandari yetu mara dufu make usafir utakuwa bei rahis harafu mburukenge Moja inasema et usitishwe, Busisi nayo iendelee Bora tulipe madeni kwa kitu kinachoonekana sio tulipe madeni kw IPTL,Richmond, Escrow, Meremeta , Yaani nyie Msoga camp hamna akili , Nchi lazma ifunguliwe kwa miundombinu, Njoo Kenya uangalie nchi ilivyofunguliwa kwa Barabara,Reli, Flyover n .k harafu unasema nyokonyoko
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
 
Kumi na mbili kabisa, mdanganyeni mama yenu hata hizo kura asilimia 30 ambazo mngepata kwa watanzania 2025 hamtazipata
Jiwe alipitishwa na kura za kwenye mabegi meusi yaliyosambazwa nchi nzima. Sasa kwann Samia ashindwe kufanya hivyo?

Bila mabegi meusi jiwe asingepata hata 1%
 
Busisi upotevu wa fedha. Hilo daraja ilipaswa kupelekwa Kigoma. Lkn jini jiwe alipumbazwa na ukabila. Alikuwa mbaguzi sana yule
Hivi kigoma ushawahi kufika? Kigoma ni sawa na mtaa wa Igoma mwanza ndo serkali uwekeze fedha nyingi kiasi hicho?
 
Hivi kigoma ushawahi kufika? Kigoma ni sawa na mtaa wa Igoma mwanza ndo serkali uwekeze fedha nyingi kiasi hicho?
Hiki ni kioja. Tukaongelea mahala ambapo Kama daraja lingejengwa nchi ingefungua fursa za biashara na nchi za nje. Lkn Busisi?!!! Kijiji cha Busisi?!!! Jiwe was a zombie
 
Back
Top Bottom