Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Akili za taahira hizi!!
 
Du, hakika ni hoja fikirishi zizizo na mashiko.

Unadai Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija, wakati hutaji ni tija gani haitapatikana miradi ikikamilika.

Naamini wewe ni msomi hivyo unajua vichochea uchumi (economic drivers)
Hapo panapojengwa daraja kuna kivuko kinachotumia muda kuvusha magari machache kwa wakati. Magari hayo ni pamoja na ya mizigo kwenda na kutoka nchi za jirani ulizozitaja
Ujinga wa mchangiaji unadhihirisha umahiri wa JPM,mbona daraja la wami limejengwa wakati kulikuwa na daraja tayari au kwa kuwa linaelekea moshi?ukifika kigongo ndiyo utajua shida iliyopo hapo,Kodi ni kwa maendeleo ya nchi.
 
Ujinga wa mchangiaji unadhihirisha umahiri wa JPM,mbona daraja la wami limejengwa wakati kulikuwa na daraja tayari au kwa kuwa linaelekea moshi?ukifika kigongo ndiyo utajua shida iliyopo hapo,Kodi ni kwa maendeleo ya nchi.
Ni mpumbavu sana huyo jamaa
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Sawa lkin pia umefikiria hadi sahii ni kias gan tayar jishatumika kwenye hiyo miradi unataka isitishwe? Je utatilipa wew hizo pesa ili kutufidia ambazo tayar zimetumika? Kuna mradi mmoja ambao nakuunga mkono uachwe, mradi wa ununuz wa ndege ndo hauna tija

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Sio kila hoja ni siasa.
Tambua Mwanza ni makao makuu ya kanda ya ziwa ni lango kuu la Uganda na Kenya kwa kupitia Ziwa Victoria
Daraja la busisi linaunganisha Mwanza na mikoa kadhaa kama Geita, Kagera, Kigoma, nk.
Maana yake ni kwamba unakuwa umeunganisha Mwanza na nchi za Rwanda, Burundi, Congo na Uganda kwa urahisibila kuzungukia Shinyanga Tinde Kahama mpaka Nyakanazi.
Yeyote anayefahamu Daraja hili anajua umuhimu wake
 
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
Wote mnacoment ujinga mtupu.

Mnaongelea theory wakati hata hiyo Busisi hamuijui.

Shwine nyie
 
Sasa kama inakuwa ndiyo lijengwe daraja la mabilioni kwenda kijijini Busisi? Acha kupumbazwa na ukabila
Wee jamaa una uelewa mdogo sasa.... hili sio daraja la kijiji wala haliunganishi kijiji tu. Au unataka kutuaminisha daraja la Wami limejengwa ajili ya kijiji cha Wami?
Daraja la Busisi linaunga Mwanza na mikoa ya Geita, Bukoba, Kigoma.
Pia Linaunga mwanza na Nchi za Congo, Burundi, Rwanda, Uganda.
Kinyume chake itawalazimu wavuke kwa Pantoni au warudi nyuma wapite Shinyanga wakatie Tinde Kupitia Kahama.
Yeyote anayebeza umuhimu wa hili Daraja hajapita njia hiyo... Sana sana anatutangazia ujinga alionao kichwani..
 
Nasisitiza serikali iachane na daraja lla Busisi pamoja SGR

It is true that you are sexless
 
Daraja la Busisi linaunga Mwanza na mikoa ya Geita, Bukoba, Kigoma.
Pia Linaunga mwanza na Nchi za Congo, Burundi, Rwanda, Uganda.
Acha uwongo. Kama siyo ukanda na ukabila wa lile jini lenu nchi hizi zinaunganishwa kwa gharama ndogo kwa kujenga daraja fupi sana pale Kigoma.

Lile jini bora lilivyokufa, lilikuwa linaharibu nchi
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Kama makusanyo ni 1.2 na MATUMIZI ya mishahara ni 800bn na mikopo na riba ni 600 bn.

Kuna wakati makusanyo halisi hayafiki 1.2 Hii Ina maana gani:

Nchi inaenda kukopa Ili kulipa madeni ya nyuma na kufidia upungufu wa malipo ya mishahara.

Tunaelekea DEPRESSION, tutauzwa, mikopo mibaya.

Hatua za haraka Zichukuliwe na wenye akili.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.

UPDATES; .....,.....................................
Kuna utetezi dhaifu Sana kwamba daraja la Busisi linaunganisha nchi za Rwanda na Burundi. Kigoma wasemeje Sasa?

Hata kwa upande wa SGR.
40% ya miizigo toka bandari ya DSM inasafirishwa kupitia Kigoma. Mwanza inapitisha 10% tu. Kulikuwa na sababu gani ya kupeleka SGR Mwanza badala ya Kigoma? Jibu ni moja tu....ukabila na upendeleo.
Nashauri miradi iendelee.

Tutafuata kiongozi mwingine aje na mbinu mpya za kusaidia UTAJIRI tulionayo utunufaishe.

Ameeeen
 
Kwahiyo Nape anatuambia kuwa nchi imefilisika? Matumizi ni makubwa kuliko mapato? Nchi hii tatizo kubwa ni kushindwa kutumia vyema mapato... Miaka miwili nyuma Nape asingethubutu kwenda mtaani kukagua anwani za makazi Kwa chopa la kukodi... Au viongozi wanavyoshindana kwenye vip hotels kufungua nchi..
 
Back
Top Bottom