Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3
Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula
Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe
Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha
Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,
Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji
Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua
Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima
Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe
Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula
Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe
Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha
Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,
Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji
Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua
Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima
Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe