Nashauri shule inapojengwa iende sambamba na zoezi la kupanda miti mazingira ya shuleni

Nashauri shule inapojengwa iende sambamba na zoezi la kupanda miti mazingira ya shuleni

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
unakuta shule nzuri inajengwa inaelekea kukamilika katika halmshauri fulani lakini miti haijapandwa inasubiri mpaka ajage mwalimu mpenda miti au mwanafunzi mpenda bustani aaanzishe miche so inachukua miaka mingi..

Wakati kulikuwa na uwezekano kipindi ujenzi unaanza palepale inapandwa ya matunda na kivuli..mpaka inakuja kukamilika unakuta ishakuwa mikubwa.Na sio shuke pekee hata vituo vya afya au majengo yoyote ya huduma za wananchi.
 
Dah napenda sana mazingira yaliyozungukwa na miti 🤔
 
unakuta shule nzuri inajengwa inaelekea kukamilika katika halmshauri fulani lakini miti haijapandwa inasubiri mpaka ajage mwalimu mpenda miti au mwanafunzi mpenda bustani aaanzishe miche so inachukua miaka mingi..

Wakati kulikuwa na uwezekano kipindi ujenzi unaanza palepale inapandwa ya matunda na kivuli..mpaka inakuja kukamilika unakuta ishakuwa mikubwa.Na sio shuke pekee hata vituo vya afya au majengo yoyote ya huduma za wananchi.
Mtu mweusi sio mtu anaejali mazingira yake au usafi.

Sio tuu miti Bali ujenzi wa vyoo Bora kabisa
 
Back
Top Bottom