ni kitu cha kawaida sana simba kuwa mnyonge mbele ya yanga hata kama atabeba kombe miaka 10 mfululizo... ni sawa na man u kwa liver! liverpool amekaa miaka 30 bila kombe na hajawahi kuwa mnyonge wa man u
so ni lazima mjifariji ili roho zenu zisuuzike ila ukweli utabaki palepale, yanga hajawahi na hawezi kamwe kuja kuwa mnyonge wa paka fc