Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
ni kitu cha kawaida sana simba kuwa mnyonge mbele ya yanga hata kama atabeba kombe miaka 10 mfululizo... ni sawa na man u kwa liver! liverpool amekaa miaka 30 bila kombe na hajawahi kuwa mnyonge wa man u
so ni lazima mjifariji ili roho zenu zisuuzike ila ukweli utabaki palepale, yanga hajawahi na hawezi kamwe kuja kuwa mnyonge wa paka fc
so ni lazima mjifariji ili roho zenu zisuuzike ila ukweli utabaki palepale, yanga hajawahi na hawezi kamwe kuja kuwa mnyonge wa paka fc