Nashauri timu ya Taifa isitoe wachezaji wanaocheza ligi.

Nashauri timu ya Taifa isitoe wachezaji wanaocheza ligi.

Hawa wachezaji wanaocheza ligi mbalimbali wanatuangusha miaka nenda rudi. Na tatizo kubwa utasikia nichemistry. Kwamba hawajazoeana. Nashauri tuwe na timu ya taifa kama waajiliwa rasmi. Kazi yao iwe ni kutoka asubuhi nyumbani kwenda kujifunza mpira na kufanya mazoezi na kucheza mechi za kirafiki. Siku ya mechi wanatumika hao waliozoeana kila siku. Kipindi cha usajili timu ya taifa nayo iwe inagombaniana na vilabu kwenye usajili. Tunaweza kuwa na timu bora kwa mtindo huu.
Mfumo wa kuchukua wachezaji wanaocheA ligi unafanya kazu kwa wenzetu ila unaonekana kwetu umefeli.
Moja kati ya timu za mpira nnazozikubai ni timu ya soka ya ujerumani!!

Hawa watu wana malengo na fucus kubwa sana kwenye mpira!! yaani wana timu karibu tatu na zote zina uwezo wa kushindana na timu yoyote duniani!! angalia mashindano yaliyoisha juzi kati na ujerumani kuchukua kombe...kwenye kikosi hakuwepo muller wala ozili wala toni krooz lakini kombe walibeba!!

Mpira wa miguu bila malengo hatuwezi fika mahali, je tz tuna academy za mpira?? leo hii ukitaja timu ya taifa unajua kabisa akina ulimwengu ...samata lazima wawepo lakin kwa ujerumani mambo ni tofauti!!

Hatuwezi endelea kama hatuna msingi wa soka, soka lianzie chini kwa watoto hasa huko sekondari!! tuache siasa kwenye mpira!!
 
Hiyo haijawahi kuwa namna ya uendeshaji wa mpira, japo inaweza kuwa ubunifu katika mpira

Oddly enough, people on the Internet are more real than people in real life. The ability to act anonymously makes us much more genuine.
uzuri siyo lazima tuendeshe mpira kwa njia iliyozoeleka tunatakiwa kuendesha kwa njia itayoendana na kutatua matatizo yetu. Na saa hizi inaonekana tatizo letu kubwa ni chemistry kati ya wachezaji. Afteralll hatuna cha kupoteza tukijaribu mbinu mpya.
 
Back
Top Bottom