Salamu.
Kwanza watawahamisha mazima wateja wote kutoka mitandao mingine na kuingia kwao kwa sababu watakuwa na vifurushi vyenye gharama nafuu hii itatokana na gharama za kuendesha mtandao zitakuwa ndogo kutokana na kutojihusisha na internet.
Internet inakula gharama sana kwenye matumizi na uendeshaji.Sisi wateja pamoja na haya makampuni ya mawasiliano tunakiona cha moto kwenye matumizi ya simu kutokana na gharama za internet.
Kuhudumia internet kunakula sana gharama kuanzia kwenye mitambo, kulipa mafundi, ufuatiliaji kuhakikisha mitambo ipo vizuri na network haikatiki gharama za usafiri nk.
Hi ni Siri yao lkn gharama za internet inaelekea zinawapekeka puta sana haya makampuni na ndio maana vifurushi vinapanda kila siku.Hii inasababisha sisi wateja kuumia.
Sijasema kusiwepo na makampuni yanayotoa huduma za internet,hapana kwa Sasa internet ndio kila kitu..bali nashauri ianzishwe kampuni ya simu itakayodeal na kupiga na kupokea tu pamoja na sms.
Pia sio lazima kuanzisha mtandao mwingine,hata hii iliyopo inaweza mmoja akaamua tu kuondoa deal la internet na kubaki kwenye 'call an receive na sms tu' Kwa sababu anakuwa tayari ana minara maeneo mengi kinachobaki hapo ni kufanya amendment tu.
Halafu wateja wengi wa simu hawatumii internet. Inawezekana robo tatu ya wateja wa makampuni haya mawasiliano ya simu hawatumii internet.Sina takwimu labda wenye takwimu watupe..ivo atawakomba wateja wengi sana kutokana na gharama zitakua poa na watakuwa na uwezo wa kuviremba vifurushi vyao wanavotaka tofauti na sasa ambapo kubadilisha vifurushi inakuwa ugomvi mkubwa sana.
Mitandao ya mawasiliano kazi kwenu msing'ang'anie kitu kimoja tu kinachofanana jaribuni kuwa tofauti kidogo sio lazima mfanane.🖐️
Kwanza watawahamisha mazima wateja wote kutoka mitandao mingine na kuingia kwao kwa sababu watakuwa na vifurushi vyenye gharama nafuu hii itatokana na gharama za kuendesha mtandao zitakuwa ndogo kutokana na kutojihusisha na internet.
Internet inakula gharama sana kwenye matumizi na uendeshaji.Sisi wateja pamoja na haya makampuni ya mawasiliano tunakiona cha moto kwenye matumizi ya simu kutokana na gharama za internet.
Kuhudumia internet kunakula sana gharama kuanzia kwenye mitambo, kulipa mafundi, ufuatiliaji kuhakikisha mitambo ipo vizuri na network haikatiki gharama za usafiri nk.
Hi ni Siri yao lkn gharama za internet inaelekea zinawapekeka puta sana haya makampuni na ndio maana vifurushi vinapanda kila siku.Hii inasababisha sisi wateja kuumia.
Sijasema kusiwepo na makampuni yanayotoa huduma za internet,hapana kwa Sasa internet ndio kila kitu..bali nashauri ianzishwe kampuni ya simu itakayodeal na kupiga na kupokea tu pamoja na sms.
Pia sio lazima kuanzisha mtandao mwingine,hata hii iliyopo inaweza mmoja akaamua tu kuondoa deal la internet na kubaki kwenye 'call an receive na sms tu' Kwa sababu anakuwa tayari ana minara maeneo mengi kinachobaki hapo ni kufanya amendment tu.
Halafu wateja wengi wa simu hawatumii internet. Inawezekana robo tatu ya wateja wa makampuni haya mawasiliano ya simu hawatumii internet.Sina takwimu labda wenye takwimu watupe..ivo atawakomba wateja wengi sana kutokana na gharama zitakua poa na watakuwa na uwezo wa kuviremba vifurushi vyao wanavotaka tofauti na sasa ambapo kubadilisha vifurushi inakuwa ugomvi mkubwa sana.
Mitandao ya mawasiliano kazi kwenu msing'ang'anie kitu kimoja tu kinachofanana jaribuni kuwa tofauti kidogo sio lazima mfanane.🖐️