Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
Simple and clear
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
Simple and clear