Nashauri Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchoma moto maiti

Nashauri Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchoma moto maiti

Fundi manyumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2018
Posts
3,799
Reaction score
8,063
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.

Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....

Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto

Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.

How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.

So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako

Bujibuji Simba Nyamaume

Aliwahi kusema

""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""

Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...

Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo

Hii itakaaje wakuu...?

Kaburi linatisha mjue.

images (32).jpeg


Bagamati_cremation.jpg

Simple and clear
 
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.

Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....

Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto

Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.

How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.

So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako

Bujibuji Simba Nyamaume

Aliwahi kusema

""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""

Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...

Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo

Hii itakaaje wakuu...?

Kaburi linatisha mjue.
Kwani utajijua nguo zako watagawana masela,wewe tutakuzika na boxer TU uliyovaa!
 
DAKTARI ndiye anayetathmini kama mtu amekufa au la,

Na mbona mtu aliyekufa anajulikana tu, anapoa, anakuwa wakijivu halafu anavimba

Kuna muda viungo vinacheza cheza baada ya kufa, wataalam wanajua, sio kwamba unafufuka

HAKUNA KUFUFUKA
 
DAKTARI ndiye anayetathmini kama mtu amekufa au la,

Na nbona mtu aliyekufa anajulikana tu, anapoa, anakuwa wakijivu halafu anavimba

Kuna muda viungo vinacheza cheza baada ya kufa, wataalam wanajua, sio kwamba unafufuka

HAKUNA KUFUFUKA
Mkuu umefatilia kwa waislam lakini...ahahaha
 
Back
Top Bottom