Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #61
Wee dactar weww kweliWe ungependa maiti yako ichomwe moto mkuu ? Au wapewe mamba wapate kitoweo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee dactar weww kweliWe ungependa maiti yako ichomwe moto mkuu ? Au wapewe mamba wapate kitoweo?
Mkuu unajua adhabu za kaburi na yule nyokaUislamu umekamilika huruhusiwi kuongeza wala kubadilisha chochote tunafanya vile tumefundishwa na mtume wetu kwan allah katuambia
وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا ۚوَاتَّقُوا اللَّـهَ ۖ إِنَّ اللَّـهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ﴿٧﴾
Lolote alilokujieni nalo mtume lichukueni na alilokukatazeni komeni nalo (liacheni) hakika allah ni mkali wa kuadhibu
Tupo pamoja mkuuSio wazo baya
Daaaah aiseeee hatareee hiyoMimi wanitupe huko nje ya dunia, mwiki uwe unaelea tu mwisho ugeuke kua gimba.
Mimi nilikuwa natengeneza business plan na eneo ninalo kabisaNdugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
View attachment 3073336
View attachment 3073337
Simple and clear
best optionNdugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
View attachment 3073336
View attachment 3073337
Simple and clear
Daaah mkuu ujue wewe sasa upo serious kabisa na mimi nilitaka mtu kama huyo an..Mimi nilikuwa natengeneza business plan na eneo ninalo kabisa
Najua hii plan itafanya kazi kwa kuwa wazungu wa ulaya tayari wanachoma mbele ya padri baada ya misa ya wafu, kwahiyo najua tutapata wateja wa kigalatia
Ila ilikuwa vigumu kupata wafanya kazi, sasa vipi uko tayari? tafuta na mchungaji atakaye kuwa anasoma misa ya wafu
Hii ya kwetu hatutatumia kuni, ni oven tu unabonyeza vitufe.
View attachment 3073397
View attachment 3073398
View attachment 3073399
Mkuu upo vizri ahahahMimi nilikuwa natengeneza business plan na eneo ninalo kabisa
Najua hii plan itafanya kazi kwa kuwa wazungu wa ulaya tayari wanachoma mbele ya padri baada ya misa ya wafu, kwahiyo najua tutapata wateja wa kigalatia
Ila ilikuwa vigumu kupata wafanya kazi, sasa vipi uko tayari? tafuta na mchungaji atakaye kuwa anasoma misa ya wafu
Hii ya kwetu hatutatumia kuni, ni oven tu unabonyeza vitufe.
View attachment 3073397
View attachment 3073398
View attachment 3073399
Mi sijawaza kuhusu ardhi ila nimewaza zile purukushan kule chiniWenzetu wanachoma kutokana na upungufu wa ardhi ya kuzikia; huku kwetu mapori yanazidi idadi ya watu
Akili kisoda walokuwepo monchwari wangpi wamefufuka ? Au wale mnowaweka wiki wangapi wamefufuka?Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
View attachment 3073336
View attachment 3073337
Simple and clear
Ishu sio unazikwa vp, ishu roho yako itaenda wapi peponi au kuzimu?Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
View attachment 3073336
View attachment 3073337
Simple and clear
Kuna kitu ujaelewa hapo...ahahaAkili kisoda walokuwepo monchwari wangpi wamefufuka ? Au wale mnowaweka wiki wangapi wamefufuka?
Uislamu raha bhna unakufa unaoshwa unavikwa sanda unasaliwa unazikwa hlf kila mtu na njia yake pirika ziendelee
Kwani wakizika inaenda wapi mkuu ahahaIshu sio unazikwa vp, ishu roho yako itaenda wapi peponi au kuzimu?
Itategemea na ulivyoutumia mwili wako wakati upo hai.Kama uliutumia kutenda mabaya utaiponza roho yako mwishowe.Kwani wakizika inaenda wapi mkuu ahaha
Bora wachome tuuItategemea na ulivyoutumia mwili wako wakati upo hai.Kama uliutumia kutenda mabaya utaiponza roho yako mwishowe.
Basi badilisha dini uwe muhindu.Bora wachome tuu
Mkuu wewe ni muislamuBasi badilisha dini uwe muhindu.
Mimi ni mkristo.Mkuu wewe ni muislamu