Nashauri Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchoma moto maiti

Nashauri Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchoma moto maiti

Uislamu umekamilika huruhusiwi kuongeza wala kubadilisha chochote tunafanya vile tumefundishwa na mtume wetu kwan allah katuambia

وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا ۚوَاتَّقُوا اللَّـهَ ۖ إِنَّ اللَّـهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ﴿٧﴾
Lolote alilokujieni nalo mtume lichukueni na alilokukatazeni komeni nalo (liacheni) hakika allah ni mkali wa kuadhibu
Mkuu unajua adhabu za kaburi na yule nyoka
 
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.

Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....

Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto

Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.

How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.

So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako

Bujibuji Simba Nyamaume

Aliwahi kusema

""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""

Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...

Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo

Hii itakaaje wakuu...?

Kaburi linatisha mjue.

View attachment 3073336

View attachment 3073337
Simple and clear
Mimi nilikuwa natengeneza business plan na eneo ninalo kabisa
Najua hii plan itafanya kazi kwa kuwa wazungu wa ulaya tayari wanachoma mbele ya padri baada ya misa ya wafu, kwahiyo najua tutapata wateja wa kigalatia
Ila ilikuwa vigumu kupata wafanya kazi, sasa vipi uko tayari? tafuta na mchungaji atakaye kuwa anasoma misa ya wafu
Hii ya kwetu hatutatumia kuni, ni oven tu unabonyeza vitufe.
1723985074005.png

1723985087389.png

1723985129715.png
 
Wenzetu wanachoma kutokana na upungufu wa ardhi ya kuzikia; huku kwetu mapori yanazidi idadi ya watu
 
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.

Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....

Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto

Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.

How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.

So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako

Bujibuji Simba Nyamaume

Aliwahi kusema

""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""

Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...

Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo

Hii itakaaje wakuu...?

Kaburi linatisha mjue.

View attachment 3073336

View attachment 3073337
Simple and clear
best option
 
Mimi nilikuwa natengeneza business plan na eneo ninalo kabisa
Najua hii plan itafanya kazi kwa kuwa wazungu wa ulaya tayari wanachoma mbele ya padri baada ya misa ya wafu, kwahiyo najua tutapata wateja wa kigalatia
Ila ilikuwa vigumu kupata wafanya kazi, sasa vipi uko tayari? tafuta na mchungaji atakaye kuwa anasoma misa ya wafu
Hii ya kwetu hatutatumia kuni, ni oven tu unabonyeza vitufe.
View attachment 3073397
View attachment 3073398
View attachment 3073399
Daaah mkuu ujue wewe sasa upo serious kabisa na mimi nilitaka mtu kama huyo an..

Sasa mkuu nataka tupate hata connection kwa watu wa hospital ili tuwe tunaongea na watu mapema unajua hii ya kuchoma inapunguza process na gharama za mazishi ujue
 
Mimi nilikuwa natengeneza business plan na eneo ninalo kabisa
Najua hii plan itafanya kazi kwa kuwa wazungu wa ulaya tayari wanachoma mbele ya padri baada ya misa ya wafu, kwahiyo najua tutapata wateja wa kigalatia
Ila ilikuwa vigumu kupata wafanya kazi, sasa vipi uko tayari? tafuta na mchungaji atakaye kuwa anasoma misa ya wafu
Hii ya kwetu hatutatumia kuni, ni oven tu unabonyeza vitufe.
View attachment 3073397
View attachment 3073398
View attachment 3073399
Mkuu upo vizri ahahah
 
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.

Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....

Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto

Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.

How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.

So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako

Bujibuji Simba Nyamaume

Aliwahi kusema

""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""

Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...

Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo

Hii itakaaje wakuu...?

Kaburi linatisha mjue.

View attachment 3073336

View attachment 3073337
Simple and clear
Akili kisoda walokuwepo monchwari wangpi wamefufuka ? Au wale mnowaweka wiki wangapi wamefufuka?
Uislamu raha bhna unakufa unaoshwa unavikwa sanda unasaliwa unazikwa hlf kila mtu na njia yake pirika ziendelee
 
Ndugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.

Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....

Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto

Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.

How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.

So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako

Bujibuji Simba Nyamaume

Aliwahi kusema

""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""

Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...

Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo

Hii itakaaje wakuu...?

Kaburi linatisha mjue.

View attachment 3073336

View attachment 3073337
Simple and clear
Ishu sio unazikwa vp, ishu roho yako itaenda wapi peponi au kuzimu?
 
Akili kisoda walokuwepo monchwari wangpi wamefufuka ? Au wale mnowaweka wiki wangapi wamefufuka?
Uislamu raha bhna unakufa unaoshwa unavikwa sanda unasaliwa unazikwa hlf kila mtu na njia yake pirika ziendelee
Kuna kitu ujaelewa hapo...ahaha
 
Back
Top Bottom