Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #21
Hakuna kufufuka pale tayar ni majivu paleHamna ubora, kwahiyo unaamini kwenye moto hatafufuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kufufuka pale tayar ni majivu paleHamna ubora, kwahiyo unaamini kwenye moto hatafufuka?
Ushawahi ona wanatambika kwa majivu mkuuKuzika hakuna relation na kutambika, kutambika ni imani na style ya maziko. Kifo ni kifo tu bro
Mtu aliyekufa anaanza kubadilika punde tu baada ya kufaMkuu umefatilia kwa waislam lakini...ahahaha
huoni kama n ukatlili tutakua tunakufanyia mkuuNdugu zangu Waislam someni huu uzi hii ya kuzika mtu mapema mnaweza kuzika watu walio hai wengi sana.
Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxyjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho....
Kwa sasa nimeanza kuogopa kuzikwa naona bora hi ya kuchoma moto
Kwangu Mimi kitu kibaya kuhusu kifo ni kaburi, haijalishi kuwa unaofukiwa pale ni mwili na si roho lakini lile shimo la futi sita sio kitu nnachotamani hata kidogo.
How did you feel ukijua ndugu yako uliyezika ameanza kuoza na kuoiwa na wadudu hii hupati hofu.
So bora kuchoma kujua tu hamna ishu tena going on kwa mpendwa wako
Bujibuji Simba Nyamaume
Aliwahi kusema
""Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na kutambikia mizimu. Nitafurahi sana na wabongo tukianza kuchoma maiti."""
Kwanini tusianze kuchoma tu wakuu...
Mfano mimi nikasema nitakapo kufa sitaki kuzikwa nataka kuchomwa na mkijaribu kunizika tarudi kama mzimu tawapelekea moto woote walioshiriki mazishi yangu kuaanzia wachimbaji mpaka ndugu zangu kina fundi bishoo
Hii itakaaje wakuu...?
Kaburi linatisha mjue.
View attachment 3073336
View attachment 3073337
Simple and clear
Sisemi ishu ya kufufuka .Mtu aliyekufa anaanza kubadilika punde tu baada ya kufa
Mambo ya kufufuka ni hadithi mkuu
Mkuu mi nikisema nichomwe moto nyie mkazingua ... Mtakubali showhuoni kama n ukatlili tutakua tunakufanyia mkuu
Ukifa, moyo unasimama, pumzi inakata, joto linatowekaSisemi ishu ya kufufuka .
Mkuu kufa ni process mtu hafi gafula bin vuuu...
Sasa kujua kuwa mtu kakata moto mazima ni shughuli mana kuna kitu kinaitwa comma mkuu
Hili suala sasa ndo nataka lifanyike kwangu vipi ndgu wanaweza kataa auSisi waafrika sio tamaduni zetu hizo. Wao wanachomana ku-save ardhi na hawaamini tena dini. Ukizikwa kule wewe ni tajiri au mtu maarufu mwenye legacy fulani. Wanatunza kumbukumbu kwa vizazi vijavyo, ukiwa kapuku ni moto.
Mbali na kusema kwamba eti Afrika zamani mtu akifa familia inamtenga na kuhama... Ni kweli lakini sio pote, baadhi ya jamii walikuwa na akili ya kufukia miaka mingi tu iliyopita, ila baadae kukawa na utaratibu bora baada ya dini kuja.
Huku hilo swala haliwezi kupitishwa.
Umefikiliaje❌Ndio mkuu au wewe umefikiliaje hili....
WaulizeHili suala sasa ndo nataka lifanyike kwangu vipi ndgu wanaweza kataa au
Hakuna dini imeagiza maiti au Marhum achomwe... Ukiruhusu iwe against na watu wakafanya hivyo unakuwa umefanya kufuru mapema. Mwenyezi mungu hana radhi naweHili suala sasa ndo nataka lifanyike kwangu vipi ndgu wanaweza kataa au
Yap, kutambika ni kama kuabudu tu. Unaabudu kitu hukion na hujawahi kukiona lakini unaimani nacho, kwa hiyo physical places haina relation na tambiko. Tambiko ni imani broUshawahi ona wanatambika kwa majivu mkuu
Kifo ni kama usingizi.kila linalofanyika na watu unasikia ila hauwezi kujibu wala kufanya chochote.sasa uchungu wa kutolewa roho bado unao alafu wakuongezee na moto?Sasa mkuu si bora moto kula kitu kinaisha pale pale .....
Hi ya kuzika ndo inapelekea watu kutambika makaburi...
Simba hawali watu.. namna bora watupe mwili kwa mamba..Wazo lako ni zuri Sana .
Ila Mimi nisichomwe bora maiti yangu wapewe simba na wanyama wa porini wapate kitoweo.
Kweli kuchoma kitoweo inakuwa ni ubinafsiSimba hawali watu.. namna bora watupe mwili kwa mamba..