Nashauri Wizari ya Nishati kuielekeza TANESCO kusitisha kwa muda kupokea maombi mapya ya kuunganishiwa umeme

Nashauri Wizari ya Nishati kuielekeza TANESCO kusitisha kwa muda kupokea maombi mapya ya kuunganishiwa umeme

Kuunganishiwa kwa shilingi 27 inashida gani?!
Si tumekubaliana tozo kwa Kila kitu tuvumilie.

Tozo si inakatwa kwenye pesa zetu ambazo tayari tumeisha lipia P.Y.E.

Kwa wafanya biashara si wanalipa Kodi.

Wakulima na wanyonge wengine si wamevumilia.

Tumieni tozo hizo mrahisishe maisha yetu.
 
Hakika marehem haombewe na kuheshimiwa na si vinginevyo.
Watoe mwongozo Basi kwa waliolipia 27.
Acha chuki,jpm ni marehemu leo siyo Kila kitu lzm kilipiwe thamani yake halisi wkt mwingine serikali huweka ruzuku,hilo limewashinda akina mwigulu pamoja na majisifu yao na tozo kibao.jpm alikuwa akili kubwa nchi hii hajawahi tokea kiongozi Kama JPM rip.
 
Kuchelewa kwa watu kutokuunganishiwa umeme hakutokani na wingi wa wateja halali (hawa wanahudumiwa haraka sana).

Kuna wateja haramu wengi Sana waliojitoieza enzi za giza (enzi za jini jiwe) wakalipa elfu 27 eti nao wanataka waunganishiwe umeme. Elfu 27, bei (gharama) ya wapi hii?? Hawa watasubiri Sana!

Wateja halali ukilipa leo ndani ya wiki unaunganishiwa umeme
Hili ndo naona likifanyika, kipara hawezi kusimamia bei ya elf 27......yupo kimichongo zaidi.
 
Back
Top Bottom