Kuunganishiwa kwa shilingi 27 inashida gani?!
Si tumekubaliana tozo kwa Kila kitu tuvumilie.
Tozo si inakatwa kwenye pesa zetu ambazo tayari tumeisha lipia P.Y.E.
Kwa wafanya biashara si wanalipa Kodi.
Wakulima na wanyonge wengine si wamevumilia.
Tumieni tozo hizo mrahisishe maisha yetu.
Si tumekubaliana tozo kwa Kila kitu tuvumilie.
Tozo si inakatwa kwenye pesa zetu ambazo tayari tumeisha lipia P.Y.E.
Kwa wafanya biashara si wanalipa Kodi.
Wakulima na wanyonge wengine si wamevumilia.
Tumieni tozo hizo mrahisishe maisha yetu.