Kuchelewa kwa watu kutokuunganishiwa umeme hakutokani na wingi wa wateja halali (hawa wanahudumiwa haraka sana).
Kuna wateja haramu wengi Sana waliojitoieza enzi za giza (enzi za jini jiwe) wakalipa elfu 27 eti nao wanataka waunganishiwe umeme. Elfu 27, bei (gharama) ya wapi hii?? Hawa watasubiri Sana!
Wateja halali ukilipa leo ndani ya wiki unaunganishiwa umeme