Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwanja wenu unatambulika na CAF tutie maguuNjooni huku Mwaneromango.
MtotoKautaka 🤣Mtoto kautaka
Au tukachezee majaliwa.stadiumHata mkipeleka mechi zenu chumbani kwa Hersi au kwenye bustani ya GSM lazimw mbutuliwe tu.
Sasa hivi ni Karaha sio Raha tenayanga raha sanaa.!!
Tatizo wachezajji wameshikana ushoga na.manara tumekwishaKama shida ni ulozi labda kwa imani yako, kwamba umewekwa viwanja vya kwa Mkapa na Azam. Amini pia unaweza kuwekwa uwanja wa Amani. Jambo la msingi ni kutafta shida ni nini??? Timu zimeanza kuzoea kutunga maana tunafungika. Huenda shida haikuwa Gamond ila kuna vitu havipo sawa ndani ya timu!
Haya mazito sasa! Ila kuna namna Yanga haipo sawa kabisa. Huoni wachezaji wakivuja jasho la damu. Kocha aliyekuja haki atatupoteza. Kingine, nimesikia Engineer anautafta ubunge kwa nguvu sana, sasa huenda pia amepunguza hamasa akiyokuwa nayo awali kwa wachezaji. Akili yake inawaza Ubunge! Twafwa!Tatizo wachezajji wameshikana ushoga na.manara tumekwisha
Jimbo la wapiHaya mazito sasa! Ila kuna namna Yanga haipo sawa kabisa. Huoni wachezaji wakivuja jasho la damu. Kocha aliyekuja haki atatupoteza. Kingine, nimesikia Engineer anautafta ubunge kwa nguvu sana, sasa huenda pia amepunguza hamasa akiyokuwa nayo awali kwa wachezaji. Akili yake inawaza Ubunge! Twafwa!