Nashauri Yanga tuhamie Amani, uwanja wa Mkapa tusiutumie tena mechi za CAF

Nashauri Yanga tuhamie Amani, uwanja wa Mkapa tusiutumie tena mechi za CAF

Nashauri mechi za Caf zote uwanja wetu wa nyumbani uwe uwanja wa Aman Zanzibar!

Au mnasemaje ndugu zangu! Yanga hii inafungwaje! MBELE DAIMA NYUMA MWIKO!!!
Narudia Tena tatizo la yanga siyo kocha Wala wachezaji injia anajua ila kiburi chake cha kuwadharau waasisi walio mng'arisha na kuwakumbatia akina kamwe kuwa wanamipango ya uzalishaji ndiyo unamponza, simba wamesumbuka sana kwa kosa kama Hilo limewaghalimu fedha na kukosa makombe kwa miaka mitatu hawata weza kurudia makosa.
 
Narudia Tena tatizo la yanga siyo kocha Wala wachezaji injia anajua ila kiburi chake cha kuwadharau waasisi walio mng'arisha na kuwakumbatia akina kamwe kuwa wanamipango ya uzalishaji ndiyo unamponza, simba wamesumbuka sana kwa kosa kama Hilo limewaghalimu fedha na kukosa makombe kwa miaka mitatu hawata weza kurudia makosa.
Waasisi kina magoma au siyo
 
Nashauri mechi za Caf zote uwanja wetu wa nyumbani uwe uwanja wa Aman Zanzibar!

Au mnasemaje ndugu zangu! Yanga hii inafungwaje! MBELE DAIMA NYUMA MWIKO!!!
Kama vipi hamieni Terminal Three kabisa
 
Kwakweli tuhame tu. Azam Complex walituroga tukahama, sasa hapa Taifa napo shida. Viongozi wafanye utaratibu tuhame tukatafute matokeo kwingine. Waganga wetu pia waangali dawa nyingine, hizi za sasa zimeshindwa
Hamahama fc
 
Back
Top Bottom