Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanja jamaa aliupendekeza uko Moshi utafaa zaidi.Nashauri mechi za Caf zote uwanja wetu wa nyumbani uwe uwanja wa Aman Zanzibar!
Au mnasemaje ndugu zangu! Yanga hii inafungwaje!
KongwaJimbo la wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382]Hata mkipeleka mechi zenu chumbani kwa Hersi au kwenye bustani ya GSM lazimw mbutuliwe tu.
Tuhame tukuhama viwanja sio tiba.
Tuhame tu
Ns kesho hatupigi kuraNilikuwa kwenye mazoezi nikakutana na kundi la mashabiki wa Yanga wanatoka kibanda umiza wako kimya nikasema hapa tayari wameshalizwa....
Sheria zikituruhusu tutafanya hivyo cha msingi tupate matokeoHawa wanapoelekea kuna siku wanaweza kufanya maamuzi ya kuhama nchi
Hahaaaah mbavu zangu mie! Wee jamaa siyo yanga kwa uandishi huo wa kinafikiNashauri mechi za Caf zote uwanja wetu wa nyumbani uwe uwanja wa Aman Zanzibar!
Au mnasemaje ndugu zangu! Yanga hii inafungwaje! MBELE DAIMA NYUMA MWIKO!!!
Mtake msitake mtapigaNs kesho hatupigi kura
WamepagawaKuna u
wanja jamaa aliupendekeza uko Moshi utafaa zaidi.
Inatambuliwa na CAF twende kama walivyofanya Sabato masaliaka vipi mwende JNIA l!!!
Tuko fitWamepagawa