Nashauri Yericko nyerere asiwe mjumbe kamati kuu ya CHADEMA, abakie mwanachama wa kawaida kwasababu hana vigezo

Nashauri Yericko nyerere asiwe mjumbe kamati kuu ya CHADEMA, abakie mwanachama wa kawaida kwasababu hana vigezo

Yericko amekuacha mbali sana kifedha na tambua kwamba fedha haiendi kwa mtu mjinga.

Ana miliki Mansion 3 Storey building.
1000228255.jpg
 
Yerko na Ntobi hawastahili kuwa viongozi.
Kwa nini? Kwa sababu walithubutu kupingana waziwazi na Mwenyekiti? Watu kama hao ndio wanahitajika maana hawatakuwa wanamuimbia mapambio. Na itamuonyesha Mwenyekiti kuwa kweli anataka kutibu majeraha.

Amandla...
 
Yericko Nyerere wewe ni attention seeker, aibu kwa mtu wa umri wako kuwa hivyo....
 
Hizo ni Changamoto tu za ukuaji wa Demokrasia,popote penye ukuaji mambo kama hayo lazima yajitokeze,labda mchakato ufanywe kibabe kama CCM walivyompitisha mgombea wao kinguvu na kabla ya wakati.
Kikubwa ni Viongozi wapya watumie nafasi zao kuponya majeraha yaliyotokana na mchakato wa uchaguzi na kuwaleta wajumbe pamoja na wanachama pamoja.
Kuna changamoto lakini kwa huyu kijana alifikia hatua kutukana viongozi kama lissu na lema kwa kuwapigia simu!
Hana adabu hata kidogo wa kuheshimu wakubwa!

Kuna vijana wengi sana ambao wanastahili kuwa katika mkutano mkuu lakini siyo huyo nyerere
 
Katika kuweka chama katika heshima na ubora hatuezi kupuuzia busara za wajumbe.

Wajumbe ni jicho la wanachama!

Wanachama hatuwezi kuendelea kuwakilishwa na walemavu wa ubongo kamati kuu!

Sipo hapa kuhoji Yericko Nyerere aliupataje ujumbe wa kamati kuu lakini nashauri huyo kijana asiwepo kabisa kwenye sehemu ya wajumbe kamati kuu!

Naomba uongozi mpya mlikumbuke hilo.
Nafasi za uteuzi mwenyekiti alizopewa na katiba ya chama za watu sita ,mwenyekiti amebaki na nafasi moja tu , ya dharula so Yeriko hawezi kupewa

Akae na kuandika vitabu na apunguze ka mdomo.
Note

Kuna kitu nimejifunza sana , tukae kwa kueshimiana kesho yetu Mungu ndo anajua, yupo yule dada wa njombe nafikili Rose Mayemba (samahani kama nimekosea jina)

Ambae uchaguzi katika mkoa wake wa njombe mpaka sasa haujapata mwenyekiti , na juzi alisema alivyofika makao makuu ya chama na kufukuzwa kama mbwa yumo katika nafasi hizo sita

Mh Lemma ambae ni juzi tu , hapa jf kuna wanajamii forum alikuja na andiko la nia kumfukuza chama leo mjumbe wa kamati kuu.

Tupunguze kamdomo kama Yeriko Nyerere
 
Yericko amekuacha mbali sana kifedha na tambua kwamba fedha haiendi kwa mtu mjinga.

Ana miliki Mansion 3 Storey building.
Kwa sababu anamiliki hivyo vitu basi ndio unaona anastahili kuwa mjumbe wa kamati kuu CHADEMA?
 
Kuna Mwanasheria anaitwa Dansitan Mtagaywa yupo Bukoba amekuwa diwani wa kamachumu Halmashauri ya wilaya Muleba akagombea ubunge kumtoa mwijage kwa tiketi ya chadema. People's yule Mwamba akumbukwe ni adhina ya chama. Muulize professa Anna Tibaijuka na ununuzi wa boti feki ziwa Victoria akwambie kijana ninani only 41 years.
 
Kuna Mwanasheria anaitwa Dansitan Mtagaywa yupo Bukoba amekuwa diwani wa kamachumu Halmashauri ya wilaya Muleba akagombea ubunge kumtoa mwijage kwa tiketi ya chadema. People's yule Mwamba akumbukwe ni adhina ya chama. Muulize professa Anna Tibaijuka na ununuzi wa boti feki ziwa Victoria akwambie kijana ninani only 41 years.
Kuliko nyerere ambae kazihilisha wazi kabisa hana chochote zaidi ya lugha chafu
 
Katika kuweka chama katika heshima na ubora hatuezi kupuuzia busara za wajumbe.

Wajumbe ni jicho la wanachama!

Wanachama hatuwezi kuendelea kuwakilishwa na walemavu wa ubongo mkutano mkuu wa maamuzi!

Sipo hapa kuhoji Yericko Nyerere aliupataje ujumbe wa mkutano mkuu lakini nashauri huyo kijana asiwepo kabisa kwenye sehemu ya wajumbe!

Naomba uongozi mpya mlikumbuke hilo.
Yeriko km atakuwa mstaarabu basi anaweza kujiuzulu ujumbe wa kamati kuu, kwa sababu haamini na hakuamini ktk uongozi wa kiongozi mpya Tundu Lisu kuongoza Chadema,,,,bc anatakiwa aachie ngazi kwa kuongozwa na dhamira Ile Ile alikuwa anaieleza kwenye kampeini zake,
 
Yeriko km atakuwa mstaarabu basi anaweza kujiuzulu ujumbe wa kamati kuu, kwa sababu haamini na hakuamini ktk uongozi wa kiongozi mpya Tundu Lisu kuongoza Chadema,,,,bc anatakiwa aachie ngazi kwa kuongozwa na dhamira Ile Ile alikuwa anaieleza kwenye kampeini zake,
Hana huo mshipa wa aibu ..tangu lini chawa ana muda wa kuwaza?
 
Shusha chini kabakie kuwa kakunja ngumi ka chini kabisa
 
Kwa sababu anamiliki hivyo vitu basi ndio unaona anastahili kuwa mjumbe wa kamati kuu CHADEMA?
Hapana mkuu ,amesema kwamba Yericko ni "mento" ,Mjinga ,hana akili ndiyo nimemjibu hivyo kwama ana fedha kumzidi yeye na fedha kamwe haiendi kwa MJINGA(means Yericko ana akili).
 
namshauri tundu lisu amteue mdude nyagali kuwa mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Cha chadema, mdude nyagali achukue nafasi ya yericko nyerere
Atachaguliwa tu jamaa kakipigania sn chama halafu mbowe kwa siasa zake za maridhiano akawa anamtenga
 
Back
Top Bottom