Nashauri Zuchu atoke WCB haraka maana Diamond anatembelea nyota yake, hakuna mapenzi

Nashauri Zuchu atoke WCB haraka maana Diamond anatembelea nyota yake, hakuna mapenzi

Niliposoma huu ujinga ulioandika hapa sasa nakubaliana rasmi na Khadija Kopa kwamba kuna kuzaa na kunya, tena wewe yawezekana mama yako amekujamba kabisa.
Mwamba umeua 🤣🤣🤣🤣
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Wee mtu hebu nambie Vanessa alikua ktk label gan? Km ambavyo zuchu yuko WCB? Vanessa ndo alianzisha label yake Mdee music, akiwa na mimi mars, Brian Simba.

Km n label ya Bi Hits, alishatoka tangu 2013, sasa hizo stress za label kwake umezitoa wapi? Kuhusu kupata mwanaume Nigeria, wee unaumia mnoo? Au rotimi ulitaka uwe wako wee?

Kwan usingeweza kumzungumzia huyo zuchu bila kumuhusisha Vanessa?
Msieeeeeew.
 
Ikiwa dhahiri kabisa kuwa zuchu ni Kati ya wasanii watatu wakubwa Tanzania na Africa mashariki boss wake diamond plutnum amekuwa akiingia pesa nyingi sana kupitia nyimbo za zuchu au zile alizomshirikisha zuchu, hivyo diamond kiuhalisia ni chawa wa chinichini wa zuchu.

Kwakuwa zuchu Sasa kimauzo yupo juu sana kushinda diamond, na mgao wake Kama inavyoSemekana ni chini ya asilimia 30 katika kila mauzo basi ni wazi diamond anatumia upepo wa zuchu, na Sasa hivi anazuga kuwa wapo katika mapenzi kitu ambacho no uongo mkubwa, huyo mtu alishindwana na jokate, penny, Natasha na Hawa wote walikuwa ni wife material, Sasa aje kuchukua mzanzibari ambaye ana uzuri wa kawaida Sana tofauti na type za diamond,
Kinachofanyika ni zuchu kutumiwa Kama njia ya kuingiza pesa, nashauri Zuchu atoke Wcb, awarudishie gari lao, na aondoke katika nyumba aliopangishiwa , vinginevyo ataendelea kuwa mzukule wa wcb, ye mwenyewe anapata kiasi kidogo mno , huwezi mwambia hata Kama ana milioni 70 bank Hana.

Nenda Kama alivyoenda harmonize, wewe una potential ya kuwa msanii namba moja east africa. Malebo Lebo yatakuwa stress Kama yalivyompa Vanessa alichoambulia ni Mume wa kinaigeria.

Nawasilisha
Wabongo uwa tunasubiri mtu aanzishe kitu tukishaona kimeanza kufanikiwa tunaanza lawama na kutaka kuharibu.
 
asee hizi njaa zimefanya watu wanafikiria na tumbo.

Mkuu hakuna asie na boss kumbuka tamaa mbele mauti nyuma...hakuna pesa za kutosha watu wanaridhika tu na wanachopata ukileta ujuaji sana unapotea..ni bora WCB ife kuliko kujitoa.
 
Japo co mdau wa wcb Mimi na Wala cjawah kuelewaga anachoimba zuchu na ofcz kiuzur zuchu ni mwanamke average saaaana ki sura na umbile (labda huko ndani Kama yaliyomo yamo) Ila hiki ukichoandika ni chuk kubwa Sana na hakina uhalisia
 
Ikiwa dhahiri kabisa kuwa zuchu ni Kati ya wasanii watatu wakubwa Tanzania na Africa mashariki boss wake diamond plutnum amekuwa akiingia pesa nyingi sana kupitia nyimbo za zuchu au zile alizomshirikisha zuchu, hivyo diamond kiuhalisia ni chawa wa chinichini wa zuchu.

Kwakuwa zuchu Sasa kimauzo yupo juu sana kushinda diamond, na mgao wake Kama inavyoSemekana ni chini ya asilimia 30 katika kila mauzo basi ni wazi diamond anatumia upepo wa zuchu, na Sasa hivi anazuga kuwa wapo katika mapenzi kitu ambacho no uongo mkubwa, huyo mtu alishindwana na jokate, penny, Natasha na Hawa wote walikuwa ni wife material, Sasa aje kuchukua mzanzibari ambaye ana uzuri wa kawaida Sana tofauti na type za diamond,
Kinachofanyika ni zuchu kutumiwa Kama njia ya kuingiza pesa, nashauri Zuchu atoke Wcb, awarudishie gari lao, na aondoke katika nyumba aliopangishiwa , vinginevyo ataendelea kuwa mzukule wa wcb, ye mwenyewe anapata kiasi kidogo mno , huwezi mwambia hata Kama ana milioni 70 bank Hana.

Nenda Kama alivyoenda harmonize, wewe una potential ya kuwa msanii namba moja east africa. Malebo Lebo yatakuwa stress Kama yalivyompa Vanessa alichoambulia ni Mume wa kinaigeria.

Nawasilisha
Unampoteza wewe kima
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mimi pia,anajua kuimba,anacheza vizuri,Tungo zake zina kiswahili cha kipekee sana na kuna kitu sijakijua bado,ila ndio nampendea hicho nahisi.

Chuchu kaharibiwa na damondi, siku hizi nyimbo zake hakuna kitu.
 
Basi watulie tu.

Ni kweli kuwa chini ya lebo kuna wakati inaumiza ila ndo hivyo mkataba umeshasaini
Weh aah wapi..hii ukimtoa konde boy pale wcb hakuna mwingine ana ubavu wa kuitafuta hii alipe ili atoke
 
Umejiuliza kabla ya kwenda WCB huyo zuchu alikuwa na status ipi ktk mziki wa Bongo flava?.

Mkuu, kwani zuchu akiondoka WCB, hii music label itakufa!?

Acha chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom