steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Binadamu wa kuwaharibiaga maisha wenzao hawakosekani,kabla ya wcb nani aliyemjua Zuchu?
Usimpotoshe mtoto wa watu,acha aondoke pale atakapoamua yeye mwenyewe na usimgombanishe na kampuni iliyomuajiri,sidhani kama akiondoka ghafla kama utamsupport kwa lolote
Usimpotoshe mtoto wa watu,acha aondoke pale atakapoamua yeye mwenyewe na usimgombanishe na kampuni iliyomuajiri,sidhani kama akiondoka ghafla kama utamsupport kwa lolote