Umembaini mjaa husda,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Shabiki la kondegang kila siku unahangaika na WCB [emoji706][emoji706]View attachment 2164697
Kabla ya kukutana na Diamond, I mean kabla hajatua WCB ndiyo nyimbo zake zilikuwa kali?Chuchu kaharibiwa na damondi, siku hizi nyimbo zake hakuna kitu.
Kabla ya kukutana na Diamond, I mean kabla hajatua WCB ndiyo nyimbo zake zilikuwa kali?
Hamna kitu Kama hicho hiyoShabiki la kondegang kila siku unahangaika na WCB [emoji706][emoji706]View attachment 2164697
Shabiki wa konde unamuongelea Diamond kuliko hata msanii wakoZuchu anazulumiwa
AkajitegemeeAtoke aende wapi ? Unapomwambia atoke mwelekeze napakwenda...
Kwanini wewe usijitegemeeAkajitegemee
Mi najitegemea sipo kwenye label ya mtuKwanini wewe usijitegemee
Tangu ujitegemee umefika wapi?Mi najitegemea sipo kwenye label ya mtu
Wewe kwanza ushatoka nyumbani kwenda kujitegemea?! Au upo unagombea remote na wadogo zako af unamashauri zuchu akajitegemee!!Akajitegemee
Ngumu kuondoka sehemu inayokupa mafanikio, huo ushauri ungewapa akina Cheed, K2ga,Killy na Ibra wapo wapo kama misukule.Akajitegemee
ππππππππππ dahMalebo Lebo yatakuwa stress Kama yalivyompa Vanessa alichoambulia ni Mume wa kinaigeria.
Nawasilisha