Nashauri Zuchu atoke WCB haraka maana Diamond anatembelea nyota yake, hakuna mapenzi

mwaka 2020 kuna mdau aklisema Mond anapoteza ela kwa Zuchu kuwa Zuchu sio msanii bora ila mwaka huu tunaona thread inasema Mond anamtumia Zuchu kupiga pesa , kwahiyo mnahisi Mond aliwekeza ela zake ili zipotee?
 
mwaka 2020 kuna mdau aklisema Mond anapoteza ela kwa Zuchu kuwa Zuchu sio msanii bora ila mwaka huu tunaona thread inasema Mond anamtumia Zuchu kupiga pesa , kwahiyo mnahisi Mond aliwekeza ela zake ili zipotee?
Akikujibu nitag bloangu na mimi nimuongezee elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…