Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Duh! Aiseee..Na nyingine anayo pale Bungoni Dar ina kama ghorofa 7 hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Aiseee..Na nyingine anayo pale Bungoni Dar ina kama ghorofa 7 hivi
😄😄😄😄Mwaka jana nilikuwa hapo nilipoona tu waswahili ndio wanacheza golf nikajisemea Nashera haina muda.
Hako kamsemo alikokaleta Mwashambwa, kanataka kuwa ni msemo wa taifa😆😆Wananchi wabubujikwa na machozi kuona Nashera hotel inauzwa.
Aisee watu weusi mbona tunapenda kujidharau kiasi hiki?Mwaka jana nilikuwa hapo nilipoona tu waswahili ndio wanacheza golf nikajisemea Nashera haina muda.
Usiwe kama ngwiniWanaweza, labda sio vipaumbele vyao!! Afu huku mwshoni sijaelewa.
Kwann lakiniii? [emoji23][emoji23][emoji23]Usiwe kama ngwini
Nipo kanisani ujue! Umesahau kuwa mimi ni mlokole? Kuanzia sasa hadi saa 12 Jioni ni ibadaKwann lakiniii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariiii tupuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Comment yako imehamisha mjadala wote umeelekezwa kwako siyo Nasera tena[emoji1787]
Kheeh ukitoka ibadani, nistue bas. [emoji23][emoji23][emoji23]Nipo kanisani ujue! Umesahau kuwa mimi ni mlokole? Kuanzia sasa hadi saa 12 Jioni ni ibada
Nitafute kwingineKheeh ukitoka ibadani, nistue bas. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee ndo unitafutee kwingnee. NasubiriiiiNitafute kwingine
Hapo ndio shida ya huyu dogo ilipoanziaSio ulienda kujifungia sema ulifungiwa ukilitumikia rungu laini
Shida ipii hiyooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ndio shida ya huyu dogo ilipoanzia
Nimesikia wivu kijinga kweli!Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Sema yule jomba ana misemo yake inayokufanya uchukie na kutabasamu hapohapo. Nyuzi zake haziepukiki kusomaHako kamsemo alikokaleta Mwashambwa, kanataka kuwa ni msemo wa taifa😆😆
Wazeiya wa hotels Hongereni sana 😊
Hapana mkuu ni wateja, hizo gari ni wale wanaonda kwa ajili ya semina au vikao tu, kwenye malazi wako juu sana na vinywaji hii inawapunguzia wateja wa aina nyingine nje ya wale awanaokuja kwa ajili ya vikao. Chumba cha morena hotel cha elfu 90 ni kizuri kuliko cha nashera cha sh.250,000, the same to morogoro hotel,.hawa wamejiashahu kwenye baishara ya ushindandani,na ukizingati msamvu pale panapanda gorofa za hotel kila siku,hizi nashera watja labda wazungu sio mbongo aache kwenda kulala Ph executive,aika,au sweet africa hotel hotel kwa buku 80 akalaebchumba cha 250,000 tena chenye vitu vya zamana,Kesema kwamba ipo kando na Mji hapana, kwamba imepungua wateja hapana,, siku nyingi nilikuwa napita hapo na ukuta magari ya kifahari kibao yamepark...
Nadhan Kuna jambo nje ya box
Nasikia ni Edward LowassaMmiliki ni nani?
Ova