cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hapana.Ulisoma kwenye ile shule ukuta wake unapakana na mochwari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.Ulisoma kwenye ile shule ukuta wake unapakana na mochwari?
Bora usiendee tyuu, poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmechelewa kidogoo nikaona nisubiri baadae kama ratiba haitoingiliana, niombee
Nisiende kwa nini na nia ninayo?Bora usiendee tyuu, poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha alikuwa mtumishi kwa siku kadhaaSio ulienda kujifungia sema ulifungiwa ukilitumikia rungu laini
Hahaha naona unapata wageni wengi wewe ndio umekuwa mada sio nashera tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hakukuwa na sponsa. Nilikua mwenyewe na kwa pesa zangu
Si ni njia ya Boma RoadEneo la Magereza??nikajua la wizara ya utalii na Mali Asili,kulikua na mabwawa ya samaki na shamba la michungwa
Rungu la kipepeHahaha alikuwa mtumishi kwa siku kadhaa
hivi Mkuu vipi kuusu Flomi na Kingsway hizi hotel bado zipo nmekumbuka sana hiziWateja wamepungua sana, hasa wa vikao, morena na edema hotels wanawakimbiza sana, hata Morogoro hotel inapumulia mashine.
aisee kumbe ulianza zaman hii michezo...libaba likakufungia hapo linakupakua kisamvu tu🤔Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Yes kabla hujafika Kona ya LitiSi ni njia ya Boma Road
Ilikuwaje ikajengwa hapo yale mashamba waliyokuwa wanalima wafungwa hayapo siku hizi?Yes kabla hujafika Kona ya Liti
Comment yako imehamisha mjadala wote umeelekezwa kwako siyo Nasera tena🤣Wakati nikiwa advance, kuna likizo ndogo nilienda kujifungia hapo, shule wanajua niko home, na home wanajua niko shule.
Woiiiiiih!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepatwa na nn had wanauza? Lol
Kuna moja maeneo yale ni ya Mustafa MkuloH
hivi Mkuu vipi kuusu Flomi na Kingsway hizi hotel bado zipo nmekumbuka sana hizi
strategy za bishara kwani kuna mahotel mangapi yanatumia hizi strategy na kubadili majina nk. ..?Serikali ilinunue kwa ajili ya kazi maalumu za kiserikali. Raha jipe mwenyewe sio mijemgo mizuri watumishi waishie kuona ni kwa ajili ya wawekezaji.
WAPI LILE SHIRIKA LA UMMA LINALO KUWA NA MIRADI YA MAJENGO?
Naskia yake ndio flomi, duh kumbe wanatuibia sana wanasiasa hawa dadekiKuna moja maeneo yale ni ya Mustafa Mkulo
Naye amefariki sijui itaendelea au itawekwa sokoni!
Na nyingine anayo pale Bungoni Dar ina kama ghorofa 7 hiviNaskia yake ndio flomi, duh kumbe wanatuibia sana wanasiasa hawa dadeki