DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Sawa lakini inafikirisha kimtindoUsimdharau mtu mkuu,kuna wanafunzi wakike wa mzumbe nilikutana nao hapo wapo kama watano, walilala hapo kuanzia Christmas Hadi mwaka Mpya 2014,..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini inafikirisha kimtindoUsimdharau mtu mkuu,kuna wanafunzi wakike wa mzumbe nilikutana nao hapo wapo kama watano, walilala hapo kuanzia Christmas Hadi mwaka Mpya 2014,..
Mi nilisikiaga enzi zile mzee wetu alipora ingawa mpaka leo nadhani mgogoro upo na inawezekana wamenusa mwenge eneo analitaka wauze ili wakimbie mgogoroEneo la Magereza??nikajua la wizara ya utalii na Mali Asili,kulikua na mabwawa ya samaki na shamba la michungwa
Itakua,maana Mimi nimekulia mitaa hiyo,wafungwa hapo hawakauki kulima,Migomba,machungwa,mchicha,Hadi keshoMi nilisikiaga enzi zile mzee wetu alipora ingawa mpaka leo nadhani mgogoro upo na inawezekana wamenusa mwenge eneo analitaka wauze ili wakimbie mgogoro
Tena ndani ya chumba, ulifurahi tendo la mnyama mmoja akimmeza mwenzie bila huruma!utalii wa ndanii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena ndani ya chumba, ulifurahi tendo la mnyama mmoja akimmeza mwenzie bila huruma!
Alikua basha wake, watu wameanza kufumuliwa advance aisee kizazi hiki laana tupuHii haikuwa kimasikhara
DuhAlikua basha wake, watu wameanza kufumuliwa advance aisee kizazi hiki laana tupu
Ilikuwaje?Afu hata haikua hivyo, unavyowazaaa!!
hahahaha umeua sana Mkuu😅😅😅Mwaka jana nilikuwa hapo nilipoona tu waswahili ndio wanacheza golf nikajisemea Nashera haina muda.
Sio advance, ni primary.Alikua basha wake, watu wameanza kufumuliwa advance aisee kizazi hiki laana tupu
[emoji23][emoji23][emoji23] ilikua hivi na vilee.Ilikuwaje?
fyuuuu Ndani 😎[emoji23][emoji23][emoji23] ilikua hivi na vilee.
HahahaWananchi wabubujikwa na machozi kuona Nashera hotel inauzwa.
Waswahili wanapenda kwenye fujo na kelele kule nashera ukisikia kelele ni ndege wanaimbaSerikali ilinunue kwa ajili ya kazi maalumu za kiserikali. Raha jipe mwenyewe sio mijemgo mizuri watumishi waishie kuona ni kwa ajili ya wawekezaji.
WAPI LILE SHIRIKA LA UMMA LINALO KUWA NA MIRADI YA MAJENGO?
Lowasa is no more,Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May 27.
Wataalamu wa sekta, Nashera imekumbwa na nini au ameamua kuuza akaangalie usawa mwingine?
Pia, soma=> Hali ikiendelea hivi, Nashera hotel nayo itafungwa!
View attachment 2980825
Magufuli alikuwa na msemo wake, wakati wake sio wakubembelezana ni wakati wa kufanya kazi. Mkitaka kubembelezana msubiri atoke.Tajiri wake JOHN KIDA yupo vibaya kifedha. Anko magu alimbana sana. Jamaa kapoteana. Hotel kibao kashaziuza