Nashindwa kuacha mapenzi kinyume na maumbile

Nashindwa kuacha mapenzi kinyume na maumbile

demi siku zote huwa naamini anakutana nao wanaotaka haya mambo aisee! mie hata mtu aniguse kalio huwa naangalia ananigusa kwa angle gan!sitak kbs uhuni km huo!yaan huyu hhehehe ! anajisfiia tu hapo anahis sifa!
Kama anafanya matangazo vile, mtu kama huyo tutamsaidiaje
 
MBITIYAZA njoo utoe ushauri hapa


demi siku zote huwa naamini anakutana nao wanaotaka haya mambo aisee! mie hata mtu aniguse kalio huwa naangalia ananigusa kwa angle gan!sitak kbs uhuni km huo!yaan huyu hhehehe ! anajisfiia tu hapo anahis sifa!
 
kama una dini aisee jua hiyo ni dhambi..

halagu unavyowafanyia watoto wa wenzio nao wakwako watafanywa ooh nitapata wa kiume ooh omba Mungu sana
 
Kila kitu ukutia dhamira inawezekana , fanya kwa nguvu zote nuia kutoka moyoni utaacha , natafuta mtu ambae huwa anakubania hiyo kitu jarbu kudumu nae kwa mda nafikiri utaanza kuzoea utamu wa papuchi na hivyo hivyo mwisho wa siku kila kitu kitakuwa powah
 
Ila 0716 sijui ina nn yaani ukianza kula au kuliwa inakuwa ngumu kuacha kama mpiga nyeto vile, ila cha msingi ni kureset mind kuwa 0716 ni tamu kuliko kipochi manyoya, tofauti na hapo huto kaaa uachee, usisubiri uje ufanyiwe opereshi ya bomba utajuta mkuu acha hiyo kitu ni laana na hatari kwa afya[emoji6].....

Na wadada jamani tuoneeni huruma siku hizi wakuta huna mpango na 0716 lakini bidada anakuambia raha ya papa kula pande zote. ...

driller⛏⚒
 
Subiri kwenda kukutana na muumba wako ukamuelezee vizuri huu utumbo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
wewe sema utawezaje kuacha kufanya same sex ni saikologia zaidi ya maombi...jitenge sana na hao watu au kampani zako,,network zao,,,tafuta kampani tofauti kabisa,,badilisha namba zako za sim,,jitume au jiweke busy sana,,kula vizuri na fanya mazoez ,,nchi zetu sijui kama kuna wataalaam wa kuwapa watu ushauri,,,,
 
Back
Top Bottom