Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Nashindwa kuamini hiki ninachokisoma kuhusu haya makato ya LUKU

Muda huu baada ya kuona huu uzi , nimetest kununua units za miatano (chini ya kiwango chao wanachotaka 1000tsh), ngoma inagoma kabisa wanadai eti "tender more money😝"

Nimemwambia mke wangu ajaribu na yeye wanamuandikia hivyo.

Nilichogundua ni kwamba hii tozo ya luku atakatwa mtu yoyote bila kujali anamiliki nyumba au laa

Huu ni upuuzi mkubwa sana,yani hawaridhiki na hela za miamala na mafuta sasa wamehamia kwenye LUKU, na kibaya zaidi hela zetu zinatumiwa na mpumbavu mmoja kufanya ziara za kijinga tu, kutwa anazunguka na misafara kwenye nchi za watu kijinga kijinga tu.

Muda si mrefu watatuletea na Tozo za pumbu Sasa🤒.
Hii comment inaweza kuamsha hasira......
ukiwa na buku mbili huwezi kununua umeme
 
Sasa ukiweka umeme wa buku wanakata nini kiuno ama??

Maana kuna mtu kanunua wa 5000 kapewa unit 1 na point sasa wa buku si unapata units 0.02.
 
Marehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.

Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.

Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".

Au nasema uongo ndugu zangu 😂😂😂
Tulimtukana sana yule dingi but he was right....
kweli tutamkumbuka
 
Sasa ukiweka umeme wa buku wanakata nini kiuno ama??

Maana kuna mtu kanunua wa 5000 kapewa unit 1 na point sasa wa buku si unapata units 0.02.
Ukiwa na buku mbili huwezi nunua umeme ....
unaambiwa hela haitoshi kulipa deni
 
Mkuu ni makato ya July na August... Wanadai tozo ilibidi ianze 1st JULY...

Ni hayo tu

Kama ilitakiwa ianze 1st July ,Mbona wamekuja kuanza 20 August? Walikuwa wapi kutangaza? Mbona Miamala haikuanza tarehe 1 July?
 
Ukiwa na buku mbili huwezi nunua umeme ....
unaambiwa hela haitoshi kulipa deni
Duuuuh huu ukuda sasa, buku 2 hununui umeme aisee mbona maisha yako juu namna hii. Sasa sisi tuliopanga tutainufaisha sana serikali kwa hizi kodi, haijakaa sawa kwakweli waliangalie upya hili.
 
Siri kubwa nawapeni chini ya kapeti .....baada ya watu kususa kutumia huduma za simu zenye tozo uchumi umeyumba vibaya kikao kikafanyika cha siri cha baraza ikulu hivyo wakasema waweke tozo kwenye umeme kwa kisingizio cha kodi ya jengo ,Dawa kwetu watanzania ni kupunguza gharama za matumizi ya umeme kwa nusu nunua nguo zisizo hitaji kupigwa past punguza kutumia friji na heater nk
Kodi ya majengo imepitishw ana bunge kwenye bajeti ya serikali ili ikusanywe kwa kupitia luku
wewe bwege
 
Back
Top Bottom