MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
- Thread starter
- #21
Ni kweli ndugu lakini kwangu nililiona si jambo jema kutoa mimba japo ilikuwa unplanned!! Nliona bora majukumu kuliko kutekeleza jambo lileMiaka 22 too young eb fanya maisha kwanza uone utazaliwa na kusingziwa watoto san