Travis samwel
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 215
- 42
Hiyo mimba ni yako acha kuleta zengwe na utashangaa mtoto atazaliwa anafanana na wewe mbaya mpaka utaona aibu. Mbegu za mwanaume zinaweza kukaa mpaka masaa 72 zikiwa hai baada ya kuzimwaga huko kwenye naniihii. Isitoshe hizo ndiyo siku zake hasa za kushika ujauzito maana ungechelewa siku 3 zaidi yai lake lingepevuka na kupasuka na mwisho ungeona damu/hedhi ila kwakuwa yai lilirutubishwa siku 3 kabla basi halikupasuka hence UJAUZITO WAKO and no hedhi.
Kama ulikwa na nguvu za kutosha siku hiyo yaani kama hukuwa umelewa, basi kuna uwezekano akatokea mtoto wa kiume (ingawa chance ni masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake maana x huwa hazikawii kufa tofauti na y ambazo zinaweza kudumu mpaka masaa 72 (kama sijachanganya kati ya y na x)).
Usiku mwema.
unataka kukwepa majukumu..
hapna ndg bt nilkuwa nataka kupata uhakika maana wa mabint wa ck hiz ni nomaaa
Yani hiyo mimba sio yako kabisa hata kama mzunguko wake ni wa siku 31 au 28 sio kabisa kwa mizunguko yote hiyo hesabu kama nilivyokueleza utakuta hizo tar zinafall under safe days.
Fadhili Paulo, umeniaibisha mwalimu wa biology!Hiyo mimba ni yako acha kuleta zengwe na utashangaa mtoto atazaliwa anafanana na wewe mbaya mpaka utaona aibu. Mbegu za mwanaume zinaweza kukaa mpaka masaa 72 zikiwa hai baada ya kuzimwaga huko kwenye naniihii. Isitoshe hizo ndiyo siku zake hasa za kushika ujauzito maana ungechelewa siku 3 zaidi yai lake lingepevuka na kupasuka na mwisho ungeona damu/hedhi ila kwakuwa yai lilirutubishwa siku 3 kabla basi halikupasuka hence UJAUZITO WAKO and no hedhi.
Kama ulikwa na nguvu za kutosha siku hiyo yaani kama hukuwa umelewa, basi kuna uwezekano akatokea mtoto wa kiume (ingawa chance ni masaa kadhaa kabla hajaanza siku zake maana x huwa hazikawii kufa tofauti na y ambazo zinaweza kudumu mpaka masaa 72 (kama sijachanganya kati ya y na x)).
Usiku mwema.
wewen kwa akili yako ulifikiri ni ya nani...?mm nna mpnz wang ambaye nipo nae kw muda wa mwaka mmoja sasa, sasa iv ananiambia kuwa ana mimba yang, yeye huwa anaingia period tar 17 na mm nilikutana naye kimwil tar 14 je hapo kuna uwezekano wa mwanamke kupata mimba jamaniii?? Naomba msaaada wenu wadau ili niondoe huu utata!!!!
Kama mchumba wako siku zake huwa hazina mabadiliko ya mara kwa mara. Kwa maana ya kwamba mzunguko wake ni siku 28 through out, basi haiwezekani kwake kupata mimba siku hiyo. Maana ilikuwa almost ndiyo siku yake ya kuanza hedhi nyingine.hebu nieleweshe jamaniii!! Huyu aliingia period tar 17 akamalza tar 22 mwez wa kwanza, then mm nikaja ku do nae tar 14 ya mwez wa 2 baada ya hapo demu akanimbia ana mimba
HIYO NI MIMBA YAKO MKUU SIKU ZA HATARI NI SIKU TANO KABLA YA HEDHI,KUANZIA TRH 13 NI HATARI KWAKE ALAFU SPERM AU MBEGU ZINAKAA KWA MWANAMKE MUDA WA MASAA 72,SAWA NA SIKU 3 ZIKISUBIR YAI ENDAPO HALIJAWA TAYAR HUTOKA KWA NJIA YA MKOJ O au ZINABADILISHWA KUWA CHAKULA CHA MWILI HESABU TOKA TRH 14 HAD CKU TATU MBELE KAMA HUJAMSABABISHIA JANGA NTOTO WA MWENZIO!!!by jenias wa shule ya katamm nna mpnz wang ambaye nipo nae kw muda wa mwaka mmoja sasa, sasa iv ananiambia kuwa ana mimba yang, yeye huwa anaingia period tar 17 na mm nilikutana naye kimwil tar 14 je hapo kuna uwezekano wa mwanamke kupata mimba jamaniii?? Naomba msaaada wenu wadau ili niondoe huu utata!!!!