Travis samwel
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 215
- 42
Mimi nna mpenzi wangu ambaye nipo nae kwa muda wa mwaka mmoja sasa, sasa hivi ananiambia kuwa ana mimba yangu. Yeye huwa anaingia period tar 17 na mimi nilikutana naye kimwil tar 14, je hapo kuna uwezekano wa mwanamke kupata mimba jamaniii?
Naomba msaaada wenu wadau ili niondoe huu utata!
Naomba msaaada wenu wadau ili niondoe huu utata!