edwinharrison
New Member
- Jan 2, 2018
- 4
- 1
Hofu ni mbayaNi mda sasa wa mwezi 1 yangu tatizo hili linikute nashindwa kabisa kupata hisia Wala kusimamisha uume pale tu ntapoitaji kushiliki tendo.
Nimekuja kugundua kuwa ni hofu nilionayo Moyon mwng ndo inanitesa, nimelileta hili suala hapa mezani, kwajili ya kupata msaada wa mawazo na ni kwa jinsi gani naweza kuepukana na tatizo hili.
Ni mda sasa wa mwezi 1 yangu tatizo hili linikute nashindwa kabisa kupata hisia Wala kusimamisha uume pale tu ntapoitaji kushiliki tendo.
Nimekuja kugundua kuwa ni hofu nilionayo Moyon mwng ndo inanitesa, nimelileta hili suala hapa mezani, kwajili ya kupata msaada wa mawazo na ni kwa jinsi gani naweza kuepukana na tatizo hili.
Case closedHofu ya kuwa utamridhisha ama hofu ya nini??
Kama ni ya kumridhisha wala usihofu. Kikubwa uridhike wewe, piga tako zako mbili wazungu wakija unakung'uta kende na kupiga mluzi wa kishujaa unasepa.
Hata akienda kusema unakojoa haraka, kitakwimu ushamkojolea huyo.
Dhamira ya lile tendo ni kufika mshindo, sio kuchukua muda mrefu kufika mshindo. Ndio maana watu hupanda ndege ili kufika haraka waendako.
Ila kama una hofu ya mengine bila ya kuyaweka wazi hutopata msaada.
Hofu ya kuwa utamridhisha ama hofu ya nini??
Kama ni ya kumridhisha wala usihofu. Kikubwa uridhike wewe, piga tako zako mbili wazungu wakija unakung'uta kende na kupiga mluzi wa kishujaa unasepa.
Hata akienda kusema unakojoa haraka, kitakwimu ushamkojolea huyo.
Dhamira ya lile tendo ni kufika mshindo, sio kuchukua muda mrefu kufika mshindo. Ndio maana watu hupanda ndege ili kufika haraka waendako.
Ila kama una hofu ya mengine bila ya kuyaweka wazi hutopata msaada.
Mpe kadi.shukuru Mungu kwa hilo, magonjwa ya zinaa utayasikia kwenye bomba
Hamisi, jamaa yuko kwenye ulimwengu mzuri wa kuokoa kibunda,Mpe kadi.
Mtumie vitabu ajisomee pengine atakuelewa. Mtumie Volume + Edition zote.Hamisi, jamaa yuko kwenye ulimwengu mzuri wa kuokoa kibunda,
nashangaa anataka kutoka
shukuru Mungu kwa hilo, magonjwa ya zinaa utayasikia kwenye bomba