Nashindwa kufanya mapenzi kwa sababu ya hofu(wasiwasi)

Nashindwa kufanya mapenzi kwa sababu ya hofu(wasiwasi)

Ni mda sasa wa mwezi 1 yangu tatizo hili linikute nashindwa kabisa kupata hisia Wala kusimamisha uume pale tu ntapoitaji kushiliki tendo.

Nimekuja kugundua kuwa ni hofu nilionayo Moyon mwng ndo inanitesa, nimelileta hili suala hapa mezani, kwajili ya kupata msaada wa mawazo na ni kwa jinsi gani naweza kuepukana na tatizo hili.
Acha kuangalia video za ngono na upigaji wa punyeto.
 
Hakikisha unazoeana sana na huyo mwenza wako kabla hata hujafikiria kumpanda.... Kaeni uchi, tembeeni uchi ndani, pigeni story za ngono. Ukifanya hivi utaona na hofu inapotea na mjulubeng unaanza simama.

Usikurupukie pu$$y, fanya foreplay ya kutosha, cheza na viungo vyake... miguno atakayotoa itaondoa hofu yako na kukupandisha mukari za tendo.

Ajue kwanza hofu yake inasababishwa na nini ndio mwanzo wa kuitatua,pili asichukue wale mademu wakuibia,yani ahakikishe huyo manzi kama amekuja atashinda na kulala geto,awe open na asiweke sana ngono akilini

Pia awe muwazi kwa demu ili demu ajue wanasaidizana vipi.
 
😂 😂 😂 Hamisi unazingua
FB_IMG_16988727968084462.jpg

😂Umejua kunifurahisha.
Nna mbwa nomewapa majina ya kiarabu.
Mmoja anaitwa Said Mmoja Saida.
 
Back
Top Bottom