Nashindwa kujielewa hii ni hali gani?

Ahsante
 
Mkuu pole sana fanya yafuatayo:

Uwe mtu wa kwenda beach

Uwe mtu wa kuwatembelea sana watoto wanaolelewa kwenye vituo na kufurahi nao wikiendi

Upate demu na umzalishe, kazi imeishia hapo! Usisahau na kusaka pesa
 
Hauko pekeyako, binadamu tuna uchizi ila tu hatuelezani;
kikubwa Badilisha life style/Mazingira
Usihangaike kutaka kujitibu hio hali mana kuna vitu duniani huwa havina majibu vina disappear/appear bila sababu za msingi!
kadri unavyopotezea hio hali ndio pona yako, Wote tunaotoa ushauri tushapitia vitu vya namna hio vinatofautiana tu kidogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…