Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Kuna mwanamke nampemda sana.
Kila nionanapo nae
uume umekuwa ukinisimama ile mbaya hadi nashindwa kuficha aibu zangu.
Matokeo yake ni kwamba nashindwa kuongea naye.. Nabaki nimeinama ili kuficha aibu yangu.
Je nifanyeje ili niishinde hali hii?????
Kuna mwanamke nampemda sana.
Kila nionanapo nae
uume umekuwa ukinisimama ile mbaya hadi nashindwa kuficha aibu zangu.
Matokeo yake ni kwamba nashindwa kuongea naye.. Nabaki nimeinama ili kuficha aibu yangu.
Je nifanyeje ili niishinde hali hii?????
very trueHuyo humpendi, sema unamtamani! That is lust not love !!!
how old r u?????????????????
- Tatio hapa ni kuwa unakuwa umesimamisha huo uume wako kwa hiyo unakuwa na aibu, kama nimekuelewa vizuri.
Sasa kama tatizo ni hilo na sio Domo Zege, basi jaribu kusema nae kwenye simu, andaa mazingira yatakayokufanya uongee nae kwa simu.
Ukishamzoea nadhani huu uume utatulia utaweza kuongea nae in person.
Au, tafuta kitu kitajachozuia huu uume kusimmama na kukuaibisha ili uongee nae... nasikia kuna chupi unawea vaa zika tight mtarimbo...
I hope nimekusaidia Kiranja Mkuu.... 🙂
nawe hiyo avatar mbona hujaniconsult.....??
nawe hiyo avatar mbona hujaniconsult.....??
tatizo lake nadhani anamtamani kingono zaidi ..na si kumpenda 😉
This tends to happen lakini jaribu kujizuia kwa kupeleka mawazo yako mbali wakati umuonapo kwa mfano ukimuona leo jaribu kukumbuka magoli ya jana Arsenal aliyokuwa anamfunga FC Porto. Nina uhakika utaweza kuzungumza naye na kuondoa aibu yako