ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mleta uzi una maneno ya kufurahishaHuwezi kukataa sometimes jamaa nimetumia sana Allion yake so siwezi kugoma kuazimisha ikowa mimi huazima
Inategema wamaetokea wapi na wanaelekea wapiMnawapaje watu magari wakayatumie tu kirahisi?
U-wana hauna limit?
Anyway ngoja ninunue la kwangu nione kama nitawaazima washkaji, ila huwa siazimi gari la mtu naishi mdani ya mipaka yangu
Kama 300k inakufanya upaki gari achana nayo. Msivamie vitu bila utafiti. Sasa kuna electric water pump humo siku chache zijazo itakufa ukitajiwa bei utakufa kabisa.300k
Tena fuel pump! Hio used nayo atatumia mwezi tu anarudi kule kuleBaadhi ya Mitanzania sijui akili ziko wapi, yaani zinapenda vitu used.
Yaani unanunua spea ambayo imetumika!
Nashindwa kuwaelewa, hao mafundi siyo. Upeo wao mdogo sana.
Ni sawa na kuazima mke wako wa Ndoa.Aisee pole sana, gari haiazimwi maana kila mtu ana uendeshaji wake tofauti, ni bora umpe na dereva wako
Jamaa atatoa miongozo yote anajua ndinga balaa!Extrovert unalala sana
Ukitaka watu wasije kuazima gari kwako nunua range roverMnawapaje watu magari wakayatumie tu kirahisi?
U-wana hauna limit?
Anyway ngoja ninunue la kwangu nione kama nitawaazima washkaji, ila huwa siazimi gari la mtu naishi mdani ya mipaka yangu
Umetumia scraperNimenunua BMW 5 series 2006 kwa mtu ikiwa fresh nimeendesha kama mwezi ilikuwa poa mpaka nilipompa jamaa alikuwa na safari ya Bagamoyo aliporudi nikaichukua kuendesha kidogo nikaona kama nakanyaga sana mafuta gari haiendi.
Nimeenda kwa fundi akasema shida plug nikanunua zikafungwa baada ya kuendesha naona mambo ni yale yale. Nikamuuliza fundi mwingine kasema nibadilishe pump, sijawahi kumiliki BMW before naomba uzoefu wenu wadau kabla sijanunua tena fuel pump.
na jinsi unavyoijali wewe mwenye gari,tofauti na aliyeazima,yeye anaenda na muda,mimi kitu ninachowaazima majirani zangu ni ngazi ya mbao tu.Aisee pole sana, gari haiazimwi maana kila mtu ana uendeshaji wake tofauti, ni bora umpe na dereva wako
mimi ninachoweza kuwaazima majirani zangu ni ngazi ya mbao tu.Ila kuna watu wanapenda kuazimana magari kama nguo,mimi kwakweli huo mzuka sina.Kwa mtu ambaye ameipenda gari yake,inapotokea issue kama ya mleta mada unaweza hata kukosa usingizi...
mmmh! kuna watu wamenunua used wanaishi nazo zaidi ya miaka mitano. Hizo gari zingekuwa mbovu hatari kweli zingekuwa sokoni hadi leo ?BMW, Benz, Audi usinunue used toka Japan au mkononi kwa mtu. Hizo brands gari zao ni mbovu hatari,zimetengenezwa hivyo makusudi.
Spana namba 8 ringi na wamepita nayo itakuwa garina jinsi unavyoijali wewe mwenye gari,tofauti na aliyeazima,yeye anaenda na muda,mimi kitu ninachowaazima majirani zangu ni ngazi ya mbao tu.
Au Nunua manualUkitaka watu wasije kuazima gari kwako nunua range rover
Maumivu wanayopitia huwezi jua,hizo brands labda uwe unatumia kama weekend car ila sio daily drivers. Ingia YouTube mcheki hooves garage,Scott kilmer au the car wizard for more info.mmmh! kuna watu wamenunua used wanaishi nazo zaidi ya miaka mitano. Hizo gari zingekuwa mbovu hatari kweli zingekuwa sokoni hadi leo ?
Upo sahihi na haupo sahihi pia. Hao youtube ni maoni yao hatuwezi wapinga. Ila pia kuna watu wana hizo hizo gari used wana enjoy hazina shida yoyote na wapo zinazo wapiga matukio kila kukicha .. Hatuwezi hitimisha kwa kusema Audi, BMW sijui benz ni vichomi hatari..Maumivu wanayopitia huwezi jua,hizo brands labda uwe unatumia kama weekend car ila sio daily drivers. Ingia YouTube mcheki hooves garage,Scott kilmer au the car wizard for more info.
Hahahah ndio wale wale wa "Tatizo wabongo mmekariri Toyota tu" πππ Gari ya mzungu haina shida spea za kumwaga tu sikuhiziWkt unainunua hio bimmer ulikua ukiambiwa khs Parts unasema kwa sauti kibabe huku ukijipiga piga kifua 'Dunia Ni kijiji nitaagiza online',ππππ.
Pambana mkuu
We si ununue obd2 ufanye diagnosis kutumia computerNimenunua BMW 5 series 2006 kwa mtu ikiwa fresh nimeendesha kama mwezi ilikuwa poa mpaka nilipompa jamaa alikuwa na safari ya Bagamoyo aliporudi nikaichukua kuendesha kidogo nikaona kama nakanyaga sana mafuta gari haiendi.
Nimeenda kwa fundi akasema shida plug nikanunua zikafungwa baada ya kuendesha naona mambo ni yale yale. Nikamuuliza fundi mwingine kasema nibadilishe pump, sijawahi kumiliki BMW before naomba uzoefu wenu wadau kabla sijanunua tena fuel pump.
Tukiwa bado kwenye TOYOTA, Kutokana na Bei ya mafuta, nimeamua ku switch kwenda Toyota. Kuna mtu amefika Bei Corolla 111 na Alteza. Naomba changamoto za hizi gari kabla zijaingia Cha kike.Naaaam kwa Toyota kila goti litapigwa [emoji23]
Rudi kundini dingii
Sent using Jamii Forums mobile app