Nashindwa kulielewa hili gari

Nashindwa kulielewa hili gari

Nimenunua BMW 5 series 2006 kwa mtu ikiwa fresh nimeendesha kama mwezi ilikuwa poa mpaka nilipompa jamaa alikuwa na safari ya Bagamoyo aliporudi nikaichukua kuendesha kidogo nikaona kama nakanyaga sana mafuta gari haiendi.

Nimeenda kwa fundi akasema shida plug nikanunua zikafungwa baada ya kuendesha naona mambo ni yale yale. Nikamuuliza fundi mwingine kasema nibadilishe pump, sijawahi kumiliki BMW before naomba uzoefu wenu wadau kabla sijanunua tena fuel pump.
Umetumia scraper

Pole sana

Mtatuelewa tunaotumia Corolla
 
mmmh! kuna watu wamenunua used wanaishi nazo zaidi ya miaka mitano. Hizo gari zingekuwa mbovu hatari kweli zingekuwa sokoni hadi leo ?
Maumivu wanayopitia huwezi jua,hizo brands labda uwe unatumia kama weekend car ila sio daily drivers. Ingia YouTube mcheki hooves garage,Scott kilmer au the car wizard for more info.
 
Maumivu wanayopitia huwezi jua,hizo brands labda uwe unatumia kama weekend car ila sio daily drivers. Ingia YouTube mcheki hooves garage,Scott kilmer au the car wizard for more info.
Upo sahihi na haupo sahihi pia. Hao youtube ni maoni yao hatuwezi wapinga. Ila pia kuna watu wana hizo hizo gari used wana enjoy hazina shida yoyote na wapo zinazo wapiga matukio kila kukicha .. Hatuwezi hitimisha kwa kusema Audi, BMW sijui benz ni vichomi hatari..
 
Nimenunua BMW 5 series 2006 kwa mtu ikiwa fresh nimeendesha kama mwezi ilikuwa poa mpaka nilipompa jamaa alikuwa na safari ya Bagamoyo aliporudi nikaichukua kuendesha kidogo nikaona kama nakanyaga sana mafuta gari haiendi.

Nimeenda kwa fundi akasema shida plug nikanunua zikafungwa baada ya kuendesha naona mambo ni yale yale. Nikamuuliza fundi mwingine kasema nibadilishe pump, sijawahi kumiliki BMW before naomba uzoefu wenu wadau kabla sijanunua tena fuel pump.
We si ununue obd2 ufanye diagnosis kutumia computer
 
Naaaam kwa Toyota kila goti litapigwa [emoji23]

Rudi kundini dingii

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiwa bado kwenye TOYOTA, Kutokana na Bei ya mafuta, nimeamua ku switch kwenda Toyota. Kuna mtu amefika Bei Corolla 111 na Alteza. Naomba changamoto za hizi gari kabla zijaingia Cha kike.
Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom