cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Ukikuwa utaacha hayo mapuuza, eti umkomeshe!Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja,napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!!!!!!!.....mtoto anaishi nae.
Tuna akili moja Mrs mwashamba😁😁😁😁Utoto raha sanaaaa..!🤸
Exactly 💯😂😁😎😎😎Utoto raha sanaaaa..!🤸
Daslam inawavulana wa hivyo grade one..☹️Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja,napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!!!!!!!.....mtoto anaishi nae.
Ukikuwa utaacha huo ujinga wa kublock watu.Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja,napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!!!!!!!.....mtoto anaishi nae.
Duh 🤣😂😁Daslam inawavulana wa hivyo grade one..☹️
Huwa upo positive sana mdada😊Bado unampenda, Ex anatakiwa kuwa non existing creature... either unamuona au humuoni you feels nothing.
Acheni kuwaacha watu kama bado mnawapenda.
Kama wewe tu... Haha asante rafiki.Huwa upo positive sana mdada😊
Mimi unanisingizia 😁😁😁Kama wewe tu... Haha asante rafiki.